تحرير فلسطين والصلاة في القدس وزوال دولة يهود قاب قوسين أو أدنى.. فأبشروا
تحرير فلسطين والصلاة في القدس وزوال دولة يهود قاب قوسين أو أدنى.. فأبشروا

الخبر:   معركة غزة...

0:00 0:00
Speed:
May 24, 2021

تحرير فلسطين والصلاة في القدس وزوال دولة يهود قاب قوسين أو أدنى.. فأبشروا

تحرير فلسطين والصلاة في القدس وزوال دولة يهود قاب قوسين أو أدنى.. فأبشروا

الخبر:

معركة غزة...

التعليق:

قال تعالى: ﴿يُخْرِبُونَ بُيُوتَهُم بِأَيْدِيهِمْ وَأَيْدِي الْمُؤْمِنِينَ﴾، وقال سبحانه: ﴿فَأَتَاهُمُ اللَّهُ مِنْ حَيْثُ لَمْ يَحْتَسِبُوا﴾.

اعتدى اليهود على أهالي القدس في المسجد الأقصى وسعوا لتهجير أهالي حي الشيخ جراح فهب المسلمون في داخل الأراضي المحتلة لنصرتهم؛ فقد شدوا الرحال للصلاة في المسجد الأقصى ووقفوا بوجه جيش الاحتلال أثناء اقتحامه وتظاهروا وثاروا ضد اعتداءات تلك الدولة، فتفاجأ اليهود ظنا منهم أن أولئك المسلمين قد تروضوا ورضوا بكيان يهود وحملوا جنسيته ونسوا فلسطين لا سيما أن المنتفضين هم من الجيل الصاعد الذي تعلم لغة اليهود ونشأ في مدارسهم الأمر الذي أربكهم وقالوا "دمرنا في ساعات ما بنيناه في سبعين سنة"، وطالبت دولة يهود أهالي الثائرين بمنعهم من الاعتراض لكن دون جدوى، ثم لبت غزة هاشم نداء استغاثة المستضعفين في القدس واشتعلت المعركة الأخيرة ربما قبل زوال كيان يهود، وتوحد مسلمو فلسطين وشرفاؤها في الداخل والقدس والضفة الذين لا يملكون إلا صدورهم العارية وحجارة وأحذية ليواجهوا جيش يهود إضافة إلى سلطة عباس الخبيثة، في وقت قامت المقاومة في غزة بدك المدن المحتلة بالصواريخ فانكشفت هشاشة كيان يهود ورعب وجبن جيشه وشعبه إذ التزموا الملاجئ وعلا صراخهم وحين سماعهم صفارات الإنذار تراهم: كأنهم حمر مستنفرة فرت من قسورة.

لم يتجرأ جيش يهود وهو مدجج بأحدث الأسلحة من اقتحام غزة، ولم يستطع بالرغم من تدميره واتباعه سياسة الأرض المحروقة وسفكه للدماء الزكية أن يكسر إرادة المسلمين في غزة بل وسائر فلسطين وانكشف أمره وعدم قدرته على مواجهة فصائل فكيف إذا واجه جيشا من جيوش المسلمين؟

على الصعيد الاستراتيجي فقد انتهى أمل اليهود في البقاء في فلسطين وأكدوا من بداية النهاية وقرب زوال دولتهم، وبالمقابل ترسخ لدى الأمة قدرتها على إزالة كيان يهود خلال أيام إن لم يكن ساعات في حال هاجمتهم الجيوش التي تحيط بهم من مصر أو الأردن أو الشام، وزاد انكشاف حكام المسلمين دون استثناء أنهم حصن كيان يهود وحماته وحين سقوطهم يزول كيان يهود، وصدق الأمير تقي الدين النبهاني رحمه الله في قوله (إسرائيل) ظل حكام المسلمين فإذا زال شيء زال ظله، كما أن هذه المعركة أسقطت صفقة القرن ومشاريع التطبيع وبيّنت وحدة الأمة التواقة للدفاع عن مقدساتها وأرضها، إذ انتفض المسلمون في كل الدنيا ضد يهود واعتداءاتهم وخاصة في الأردن ومصر وسوريا ولبنان، كما بيّنت أن قضية فلسطين قضية إسلامية وليست قضية وطنية ولا قومية.

وكذلك فإن هذه الحرب كشفت مزيدا من عداوة الغرب للإسلام والمسلمين ودوسهم على مبادئهم العفنة التي يتبجحون بها؛ إذ إنهم يزعمون دفاعهم عن حقوق الإنسان وحرية التعبير فإذا بهم يقفون مع دولة إرهابية مجرمة محتلة؛ فها هي أمريكا تصرح بحق يهود في الدفاع عن النفس بينما تبلع لسانها حين حق أهل فلسطين الدفاع عن النفس، وتهبها السلاح والمال لتقتل وتدمر مدن وبلدات المسلمين، وها هي ألمانيا وفرنسا وغيرهما من دول الغرب يمنعون أي تظاهرة ضد كيان يهود ويعلنون دعمهم له في حربه على المسلمين في فلسطين.

وقبل الختام فالحذر كل الحذر أن تحقق أمريكا ويهود في السلم ما لم يتمكنوا منه في الحرب، فكل الدعوات المشبوهة والخيانية يجب أن ترفض؛ من مناداة أمريكا وأذنابها بحل الدولتين، والمطالبة بتدخل الأمم المتحدة وتدويل القدس... فالحل الشرعي هو تحرير كامل أرض فلسطين عن طريق الجهاد الواجب على أهل القوة من جيوش المسلمين، وننصح إخواننا في حماس بعدم تجيير ثبات كتائب القسام إلى حكام دول يتاجرون بقضية فلسطين لصالح الغرب ومصالح دولهم القومية كالنظام الإيراني المجرم الذي ولغ في دماء المسلمين في إيران والعراق والشام... أو النظام النصيري الذي قتل مئات الآلاف وهجر ملايين المسلمين، فهذا النظام لا ترد له التحية بمثلها، فلو ألقى علينا نتنياهو تحية هل نردها بمثلها؟!

 فالشكر على الثبات وإفشال يهود يكون أولا لله ثم لأهل القدس والشيخ جراح وأهالي كل فلسطين والشعوب المسلمة وليس لغيرهم.

وفي الختام: أراد يهود أمرا وأراد الله أمرا فكان ما أراد الله، ولعله وعد الله سبحانه: ﴿وَلِيَدْخُلُوا الْمَسْجِدَ كَمَا دَخَلُوهُ أَوَّلَ مَرَّةٍ﴾ وقول النبي ﷺ: «لَا تَقُومُ السَّاعَةُ حَتَّى تُقَاتِلُوا الْيَهُودَ حَتَّى يَقُولَ الْحَجَرُ وَرَاءَهُ الْيَهُودِيُّ: يَا مُسْلِمُ هَذَا يَهُودِيٌّ وَرَائِي فَاقْتُلْهُ».

وستكون بيت المقدس عقر دار الإسلام وعاصمة الخلافة على منهاج النبوة وصاحبة القرار السياسي في العالم، ولعل قادم الأيام تتنزل الرحمات وترفع الكربات وينزل الفرج، فأبشروا ولمثل هذا الحق فاسعوا وأعدوا.

#الأقصى_يستصرخ_الجيوش

#Aqsa_calls_armies #AqsaCallsArmies

#OrdularAksaya

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

الشيخ د. محمد إبراهيم

رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية لبنان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon