تحول التعداد السكاني إلى ثلة من الأشخاص السياسيين والناس العاديون في حالة يرثى لها
تحول التعداد السكاني إلى ثلة من الأشخاص السياسيين والناس العاديون في حالة يرثى لها

الخبر: في يوم الجمعة 21 شباط/فبراير، أصدر المكتب الوطني للإحصاء الكيني ثلاثة تقارير أخرى (المجلد الثاني والثالث والرابع) من تعداد السكان والمساكن في كينيا لعام 2019 من نتائج تعداد عام 2019 التي تشير إلى أن عدد سكان كينيا يبلغ 47.5 مليون نسمة. ويكشف التعداد عن بيانات غير دقيقة عن نوعية حياة معظم الكينيين - نوعية السكن، ومصدر مياه الشرب، ومصدر وقود الطهي.

0:00 0:00
Speed:
March 06, 2020

تحول التعداد السكاني إلى ثلة من الأشخاص السياسيين والناس العاديون في حالة يرثى لها

تحول التعداد السكاني إلى ثلة من الأشخاص السياسيين
والناس العاديون في حالة يرثى لها
(مترجم)


الخبر:


في يوم الجمعة 21 شباط/فبراير، أصدر المكتب الوطني للإحصاء الكيني ثلاثة تقارير أخرى (المجلد الثاني والثالث والرابع) من تعداد السكان والمساكن في كينيا لعام 2019 من نتائج تعداد عام 2019 التي تشير إلى أن عدد سكان كينيا يبلغ 47.5 مليون نسمة. ويكشف التعداد عن بيانات غير دقيقة عن نوعية حياة معظم الكينيين - نوعية السكن، ومصدر مياه الشرب، ومصدر وقود الطهي. وحوالي 41% من المنازل الريفية جدرانها مبنية من الطين وروث الأبقار. وتتراوح هذه النسبة بين 50% و80% في معظم مقاطعات الساحل والوادي المتصدع والغربية ونيانزا. وبالمثل، كان الطين وروث البقر هي المواد المهيمنة المستخدمة لبناء أرضيات لـ43% من الوحدات السكنية الرئيسية. ولا يحصل سوى 10% من الأسر الكينية على المياه المنقولة بالأنابيب في مساكنها. وحصول نحو 14% على المياه المنقولة بالأنابيب من أنبوب قريب. ووفقا للأرقام، بلغت نسبة البطالة بين الشباب 39%، مع وجود 5.2 مليون شخص تتراوح أعمارهم بين 18 و34 سنة من العمل.

التعليق:


إن الأرقام المروعة التي تبين الحالة المؤسفة للناس هي مؤشر على أن أرقام التعداد لم تساعد الحكومة بعد على القضاء على المشاكل التي تواجههم. إن النظرية المالثوسية الجديدة التي تدعو إلى أن إجراء التعداد يتيح للحكومات فرصة للتخطيط الفعال لتقديم الخدمات هي مجرد مغالطة في ظل الرأسمالية. وإذا كان للأرقام السكانية تأثير على التخطيط، فإن الناس في المناطق القاحلة وشبه القاحلة في كينيا يعيشون في ظروف قاسية تفتقر إلى الاحتياجات الأساسية، ويعانون من الجوع بسبب نقص الأغذية.


فيما يتعلق بالأمور السياسية، أثارت النتائج ردود فعل متباينة من مختلف الأوساط مع بدء التأثيرات السياسية في التبلور ومع احتدام مناقشة تقرير مبادرة بناء الجسور والاستعدادات لرئاسة عام 2022، والأرقام قد تصبح نقطة محورية في تشكيل المستقبل السياسي. ومنذ صدور نتائج التعداد الأولية في تشرين الثاني/نوفمبر من العام الماضي، رفض قطاع من السياسيين الذين يخشون فقدان سلطاتهم السياسية النتائج التي أظهرت تحولات جذرية في عدد السكان في بعض المقاطعات. وقاد زعيم الأغلبية في الجمعية الوطنية أدين دوالي مجموعة من قادة الشمال الشرقي في المطالبة بالإفراج الفوري عن البيانات الأولية التي اعتمد عليها مسؤولو التعداد. كما طالبت قطاعات من القادة من الوادي المتصدع، إلى نيانزا والجزء الشرقي من البلاد، بتفسير الأعداد المتضائلة التي يدافع المكتب الوطني الكيني للإحصاء عن دقتها.


بما أنّ النظم الديمقراطية معروفة بخلق الانقسامات بين مجتمعاتها، فكلما زاد انقسام الدولة كانت أرقام التعداد أكثر جدلا. والحقيقة هي أن السياسة الكينية تجري على أساس العرق، والتعدادات كانت مثيرة للجدل أكثر من أي وقت مضى. وتعتبر الأرقام المرتبطة بجماعات عرقية معينة هي التي تحدد نتائج الانتخابات. أرجأت إثيوبيا، ثاني أكبر دولة من حيث عدد السكان في القارة الأفريقية، تعدادها السكاني مرتين منذ عام 2017 بسبب الاحتجاجات والعنف العرقي. وعندما يحدث ذلك في نهاية المطاف، فإن النتيجة ستكون مهمة بالنسبة للجماعات التي تتنافس على المزيد من القوى الإقليمية - فكلما كانت المجموعة العرقية أكبر، كانت أقوى وستشعر بمطالبتها بتقرير المصير في ظل النظام الفيدرالي الإثيوبي القائم على أساس عرقي. فعلى سبيل المثال، صوتت جماعة سيداما العرقية في جنوب إثيوبيا في استفتاء سابق للضغط من أجل إقامة دولتها الخاصة. نيجيريا أيضا، لديها تاريخ طويل من الإحصاءات المثيرة للجدل.


ويختلف التعداد الوطني للسكان في العام الماضي عن الأعداد السابقة حيث أشار إلى قيام الدولة بمراقبة رعاياها حيث طُلب من الناس تقديم معلوماتهم الخاصة الحساسة. وقد ظلت هذه المراقبة الجماعية من الاهتمامات الرئيسية للحكومة لما يقرب من عقد من الزمن حتى الآن. وتحت شعار مكافحة الهجمات الإرهابية، استحدثت الدولة مبادرة عشرة منازل التي تشجع السكان المحليين على التفاعل وتبادل المعلومات عن بعضهم البعض وتقديم المعلومات إلى الإدارة المحلية والأجهزة الأمنية. تاريخياً، كانت العديد من الحكومات تستخدم البيانات الشخصية لخدمة أجندتها الخطيرة. وقد قالت السياسية الأمريكية ميشيل باخمان ذات مرة: "إذا نظرنا إلى التاريخ الأمريكي، بين عامي 1942 و1947، فإن البيانات التي جمعها مكتب الإحصاء تم تسليمها إلى مكتب التحقيقات الفيدرالي ومنظمات أخرى بناء على طلب الرئيس روزفلت، وهذه هي الطريقة التي تم بها تجميع اليابانيين ووضعهم في معسكرات الاعتقال".


تكمن فكرة التعداد السكاني بأكملها في نظرية "الانفجار السكاني". في عام 1798، نشر القس توماس مالثوس مقالا عن مبدأ السكان، ذكر فيه أن قوة السكان أكبر إلى أجل غير مسمى من القوة الموجودة في الأرض لإنتاج الكفاف (القوت) للإنسان". وقد حفزت هذه النظرية المتحيزة سياسات التحكم السكاني التي تروج لها المنظمات الرأسمالية مثل مؤسسة فورد، ومؤسسة روكفلر، ومجلس تعداد السكان.


وعلى الرغم من أن الإسلام لا يجادل في مسألة التعداد السكاني، إلا أنه يرى أن كل شخص يولد لهذا العالم يأتي رزقه من الله معه، بما في ذلك الغذاء. وبما أن الهدف الأساسي للنموذج الإسلامي للاقتصاد هو التوزيع العادل للثروة التي توفر ضروريات كل نفس حية، فإن الخلافة مطالبة بضمان الغذاء والملبس والمأوى لجميع رعاياها. في واقع الأمر، فإنها لن تهدر المال العام من خلال إجراء احصاءات التعداد في وجود المحتاجين كما هو الحال في الحكومات الرأسمالية. وعلاوة على ذلك، فإن النمو السكاني ليس تهديدا حقيقيا للاقتصاد بل هو تنفيذ السياسات الاقتصادية الرأسمالية. تقوم الرأسمالية على أساس استغلال الجماهير، ورعاية النخب الرأسمالية التي يزداد هاجسها بالسلطة المادية يوما بعد يوم.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
شعبان معلم
الممثل الاعلامي لحزب التحرير في كينيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon