تلوث نهر كيم كيم - تجسيد واضح للفساد الناجم عن الرأسمالية (مترجم)
تلوث نهر كيم كيم - تجسيد واضح للفساد الناجم عن الرأسمالية (مترجم)

الخبر:   في 25 من آذار/مارس 2019، تم توجيه الاتهام إلى اثنين من المديرين وسائق شاحنة لشركة وظيفتها معالجة الإطارات في محكمة الجلسات في جوهر باهرو، بالتورط في إلقاء المواد الكيميائية في نهر كيم كيم في جوهر، وهي ولاية تقع جنوب شبه جزيرة ماليزيا. حتى الآن، كان أكثر من 5000 شخص ضحايا هذه الملوثات في جميع أنحاء بلدة Pasir Gudang خلال الأسابيع القليلة الماضية. كان التلوث بسبب إلقاء النفايات الكيميائية في نهر كيم كيم والذي أدى إلى انتشار المواد السامة المتطايرة في جميع أنحاء المنطقة. وأفيد بأن الضحايا الذين استنشقوا المواد السامة يعانون من الصداع والقيء وضيق التنفس والإغماء. وقد تم إدخال بعض الضحايا إلى المستشفى وبعضهم أدخلوا إلى وحدات العناية المركزة. وأجبر التلوث على إغلاق 111 مدرسة والعديد من مؤسسات التعليم العالي. ولم تجر عملية التنظيف إلا بعد حوالي 10 أيام. بدأت عملية تنظيف المنطقة المصابة البالغة 1.5 كم في نهر كيم كيم في 13 آذار/مارس واستغرقت أربعة أيام لإنهائها.

0:00 0:00
Speed:
April 24, 2019

تلوث نهر كيم كيم - تجسيد واضح للفساد الناجم عن الرأسمالية (مترجم)

تلوث نهر كيم كيم - تجسيد واضح للفساد الناجم عن الرأسمالية

(مترجم)

الخبر:

في 25 من آذار/مارس 2019، تم توجيه الاتهام إلى اثنين من المديرين وسائق شاحنة لشركة وظيفتها معالجة الإطارات في محكمة الجلسات في جوهر باهرو، بالتورط في إلقاء المواد الكيميائية في نهر كيم كيم في جوهر، وهي ولاية تقع جنوب شبه جزيرة ماليزيا. حتى الآن، كان أكثر من 5000 شخص ضحايا هذه الملوثات في جميع أنحاء بلدة Pasir Gudang خلال الأسابيع القليلة الماضية. كان التلوث بسبب إلقاء النفايات الكيميائية في نهر كيم كيم والذي أدى إلى انتشار المواد السامة المتطايرة في جميع أنحاء المنطقة. وأفيد بأن الضحايا الذين استنشقوا المواد السامة يعانون من الصداع والقيء وضيق التنفس والإغماء. وقد تم إدخال بعض الضحايا إلى المستشفى وبعضهم أدخلوا إلى وحدات العناية المركزة. وأجبر التلوث على إغلاق 111 مدرسة والعديد من مؤسسات التعليم العالي. ولم تجر عملية التنظيف إلا بعد حوالي 10 أيام. بدأت عملية تنظيف المنطقة المصابة البالغة 1.5 كم في نهر كيم كيم في 13 آذار/مارس واستغرقت أربعة أيام لإنهائها.

التعليق:

إن ما حدث في نهر كيم كيم يطرح أسئلة حول سبب السماح أصلا بحصول مثل هذه الحادثة. شعر الكثيرون بالحيرة من وجود أطراف غير مسؤولة لا تفكر في السلامة العامة وإلقاء النفايات السامة في الأنهار العامة. كان لدى البعض انطباع بأن هذا لا يزال يحدث لأن العقوبة على مثل هذا الفعل خفيفة إلى حد ما، وألقى البعض باللائمة في ما حصل على ضعف تطبيق القوانين البيئية الحالية. وهذا يؤدي إلى توجيه أصابع الاتهام دون أن يدرك الكثيرون السبب الرئيسي لمثل هذه المأساة ألا وهو المبدأ الذي يمتد إلى النظام الاقتصادي الحالي.

إن الرأسمالية - التي تركز على الإنتاج في سوق تنافسية - هي نظام اقتصادي يضع مضاعفة الربح مع تقليل تكلفة الإنتاج جوهر تعاملاته، وبخاصة في القطاع الخاص. يشجع الدافع لزيادة الأرباح وخفض التكلفة متعهدي الأعمال على زيادة الإنتاجية على نطاق واسع وتخصيص الموارد بأرخص الطرق باسم النمو. ونظراً إلى أن المنافسة في السوق ضخمة ومُلحَّة، فإن المغامرين سيجازفون باستخدام التقنيات التي يمكن أن توفر التكلفة، والتي ستمكنهم من التغلب على الضغوط الناتجة عن منافسيهم في السوق. بالإضافة إلى ذلك، يواجه متعهدو الأعمال أيضاً تكلفة معالجة مخلفات التصنيع والالتزام بالقوانين البيئية، والتي تتحمل أيضاً تكاليف كبيرة. إحدى الطرق الواضحة للتوفير هي "إلقاء التكلفة" على عاتق البيئة.

وبالتالي، لا ينبغي أن نتفاجأ عندما يلوث هؤلاء الرأسماليون البيئة ويتخلصون عمداً من النفايات السامة في الأنهار والمناطق المفتوحة دون الاهتمام بالمخاطر التي يواجهها آخرون. بالإضافة إلى ذلك، وللأسف، عندما ترغب شركات من الدول المتقدمة في توفير التكلفة، فإنها تنقل مصانعها إلى العالم الثالث والبلاد النامية، نظراً للضعف في تطبيق القوانين البيئية في هذه البلاد، فهي حرة نسبياً في إلقاء النفايات السامة لصناعاتها في البيئة. إنه سر معروف أن الشركات الرأسمالية من الدول المتقدمة تجعل من البلاد النامية ودول العالم الثالث مكبا للنفايات السامة التي تخلفها صناعاتها.

ذكر أبو الرأسمالية، آدم سميث في كتابه "ثروة الأمم"، أن الفردانية والجشع جيدان لأن هذا السلوك في نهاية المطاف سيفيد المجتمع كونهما سيشعلان روح الابتكار بين متعهدي الأعمال. ما حدث في Pasir Gudang لا يقترب حتى من وصف "الجيد للمجتمع". في الواقع، من الواضح أن فلسفة الرأسمالية هي خدعة عندما يتضح أن الجشع والفردانية يدمران البيئة ويعرضان المجتمع للخطر. وفي الحقيقة، تُظهر الأدلة التجريبية أن الجشع والفردانية هما السبب الجذري لعمل العبيد، واستغلال النساء، وسوق الاحتكار، والركود، وتوسيع الفجوة بين الأغنياء والفقراء وغيرها من الحوادث المؤسفة. باختصار، إن الرأسمالية تجلب مزيداً من الدمار للبشرية أكثر من النفع الذي تحققه.

لذلك، في أحداث مثل تلوث نهر كيم كيم هذا، يجب أن نفكر في أنفسنا وأن نعود إلى ما أنزله الله للبشر، الشريعة. قال الله سبحانه وتعالى: ﴿ظَهَرَ الْفَسَادُ فِي الْبَرِّ وَالْبَحْرِ بِمَا كَسَبَتْ أَيْدِي النَّاسِ لِيُذِيقَهُم بَعْضَ الَّذِي عَمِلُوا لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ﴾.

من الواضح أن هذه الكارثة البيئية هي نتيجة أشخاص تحركهم الرأسمالية. هذا المبدأ فاسد من جذوره، والبشرية تستحق أفضل منه. لماذا إذن يجب أن نتمسك بهذا النظام الفاسد فيما أنزل الله سبحانه وتعالى لنا الإسلام باعتباره النظام المثالي الأكمل؟!

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد – ماليزيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon