تركيا دخلت شمال سوريا، ماذا بعد؟ (مترجم)
تركيا دخلت شمال سوريا، ماذا بعد؟ (مترجم)

الخبر:   العملية العسكرية التركية عبر الحدود إلى شمال سوريا.

0:00 0:00
Speed:
October 27, 2019

تركيا دخلت شمال سوريا، ماذا بعد؟ (مترجم)

تركيا دخلت شمال سوريا، ماذا بعد؟

(مترجم)

الخبر:

العملية العسكرية التركية عبر الحدود إلى شمال سوريا.

التعليق:

كما هو الحال في فيلم رخيص، حيث يمكنك بسهولة التنبؤ بالمشاهد القادمة، فإن استراتيجية الولايات المتحدة لسوريا لم تتغير. في كانون الأول/ديسمبر 2018، كتبنا مقالاً بعنوان "ماذا وراء الانسحاب العسكري للولايات المتحدة من سوريا؟" والذي أشرنا فيه إلى ما يلي:

"نتيجة لهذه السياسة، استعاد النظام السوري الضعيف سيطرته على كل منطقة تقريباً في سوريا باستثناء منطقة إدلب التي كانت آخر قاعدة للمعارضة، والمنطقة الشمالية التي يتمتع فيها الأكراد بحكم شبه ذاتي. اللعبة النهائية تبدو قريبة. العقبات الوحيدة أمام توحيد وقيام النظام السوري هي المعارضة السورية والأكراد في الشمال.

أما بالنسبة للمنطقة الكردية، فقد رعتها الولايات المتحدة وحمتها من تركيا واستخدمتها بفعالية في قتال مجموعة البغدادي والجماعات الإسلامية. إن الانسحاب العسكري للولايات المتحدة سوف يتركهم دون دفاع، من ناحية التهديد التركي، ومن ناحية أخرى بشار الأسد الذي يريد إعادة كل سوريا مرة أخرى إلى سيطرة حكومته.

لهذا السبب شعر القادة الأكراد بالحرارة وبدأوا على الفور محادثات مع دمشق من أجل التسوية المباشرة والثنائية عندما سمعوا عن الانسحاب الأمريكي. لذلك، يتم إرغام الأكراد بشكل غير مباشر على التفاوض مع النظام السوري الذي سيؤدي في النهاية إلى دمج شمال سوريا في سوريا "موحدة"." [نهاية الاقتباس]

اليوم، أصبح هذا حقيقة واقعة. فقد انسحبت الولايات المتحدة من المنطقة الكردية في شمال سوريا وأعطت تركيا الضوء الأخضر للدخول. مما تسبب في اندماج قوات سوريا الديمقراطية الكردية، بدافع الضرورة، مع نظام بشار الأسد. وتم التلويح بالوداع للحلم الكردي العزيز بدولة كردية تتمتع بحكم ذاتي. وبالتالي، اكتسب نظام الأسد 70.000 مقاتل إضافي مدربين جيداً لقواته المسلحة وما لا يقل عن 30.000 شاحنة من الأسلحة (التي سلمتها الولايات المتحدة) إلى ترسانة سلاحه. بعبارة أخرى؛ دفع الجيش التركي إلى شمال سوريا، أعطى قوة فعالة لنظام الأسد المجرم.

الفكرة هي أنه مع انسحاب قوات سوريا الديمقراطية، فإن 2 مليون لاجئ سوري يقيمون حالياً في تركيا سيستقرون في "المنطقة الآمنة" في شمال سوريا. السؤال هو، ماذا سيحدث بعد ذلك؟ من الذي سيدير ​​هذه المنطقة عندما يعود الجيش التركي في النهاية إلى الوطن بعد طرد قوات الدفاع الذاتي؟ تركيا أم النظام السوري؟

الرئيس التركي أردوغان واضح في هذه القضية. الوجود العسكري التركي مؤقت وسوف يتراجع فور انسحاب قوات سوريا الديمقراطية من المنطقة الآمنة المخطط لها في شمال سوريا واستقرار الملاجئ السورية. وسيتم احترام سيادة سوريا وسلامة أراضيها وفقاً لجميع الدول الضامنة بما في ذلك تركيا وروسيا وإيران، المنخرطة بشدة في الأزمات السورية. "احترام السلامة الإقليمية لسوريا وعدم قابليتها للتجزئة وسيادتها واستقلالها، ونهاية تدخل القوى الأجنبية في الشؤون الداخلية لهذا البلد" كما قال الرئيس الإيراني روحاني.

هذا يعني أن الخطوة العسكرية التركية في شمال سوريا (التي نظمتها الولايات المتحدة) قد عززت نظام الأسد السوري المجرم من خلال توحيد الأكراد مع النظام واتخذت خطوات جادة لاستعادة التوحيد الإقليمي لسوريا. بعبارة أخرى: "المنطقة الآمنة" في شمال سوريا سيتم تسليمها في النهاية إلى النظام السوري وفقاً للاتفاق المبرم بين تركيا وروسيا وإيران ووفقاً للدستور السوري في جنيف والمقبول من أمريكا والأمم المتحدة.

وقد لخصت ماريا زاخاروفا، المتحدثة باسم وزارة الخارجية الروسية هذا بالقول: "هذا يعني في نهاية المطاف، يجب أن تُمنح الحكومة السورية الشرعية للسيطرة النهائية على جميع الأراضي الوطنية، بما في ذلك السيطرة على المناطق الحدودية مع تركيا".

وهذا يعني الاعتراف المباشر بالنظام السوري المجرم والتعاون مع بشار الأسد وخيانة الشعب السوري الذي ثار ضد الطاغية والنظام المستبد والذين وهبوا حياتهم من أجل تغييره.

أكد وزير الخارجية التركي مولود جاويش أوغلو هذا في وقت سابق وقال إن تركيا والقوى العالمية الأخرى ستفكر في العمل مع الرئيس السوري بشار الأسد إذا فاز في انتخابات ديمقراطية.

ومؤخرا قال أردوغان في منتدى الأعمال التركي الصربي، عندما سئل عما إذا كان من الممكن التعاون في المستقبل مع بشار الأسد، أجاب: "لن أتحدث معه بنفسي، هذه مسألة مختلفة. أجهزة المخابرات لدينا تتفاوض مع بعضها البعض". وأضاف: "نحن نحافظ على علاقاتنا مع النظام في سوريا من خلال روسيا".

لذا، فإن المشاهد التالية هي تسليم "المناطق الآمنة" إلى النظام السوري المجرم، وهجوم وشيك على إدلب وإدخال وتنفيذ دستور جنيف العلماني السوري..

مع العلم أن هذه الأمور تنتظرنا، هل ما زلنا نخدع مراراً وتكراراً من خلال بعض الدعاية الحمقاء والضعيفة؟! كما قال عمر بن الخطاب رضي الله عنه بحكمة: "لستُ بالخِبِّ، ولا الخِبُّ يَخدعُني"!

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أوكاي بالا

الممثل الإعلامي لحزب التحرير في هولندا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon