تركيا والرهان الخاسر
تركيا والرهان الخاسر

الخبر:   سيطرت أنباء الانقلاب الفاشل في تركيا على وسائل الإعلام العالمية وركزت بعيد الانقلاب على اعتقال وتوقيف ما يزيد على 50 ألفا من المؤسسات العسكرية والقضائية والتعليمية.

0:00 0:00
Speed:
July 24, 2016

تركيا والرهان الخاسر

تركيا والرهان الخاسر

الخبر:

سيطرت أنباء الانقلاب الفاشل في تركيا على وسائل الإعلام العالمية وركزت بعيد الانقلاب على اعتقال وتوقيف ما يزيد على 50 ألفا من المؤسسات العسكرية والقضائية والتعليمية.

التعليق:

منذ أن تم إحباط محاولة الانقلاب في تركيا، شرعت حكومة أردوغان في تركيا بعمليات اعتقال وتوقيف واسعة حتى إنه خلال ساعات فقط من الإعلان عن سيطرة الحكومة على الانقلاب تم الإعلان عن اعتقال 3000 من المؤسسة العسكرية و2700 من القضاة. وإزاء ذلك انبرى قادة وسياسيون وإعلاميون من أوروبا وأمريكا لتحذير أردوغان من إجراء عمليات تطهير في المؤسسة العسكرية تشمل خصومه السياسيين والعسكريين، وجاء على لسان كيري أن "استمرار تركيا باستغلال الانقلاب في عمليات قمع المعارضين قد يكلف تركيا عضويتها في الناتو"، كما قالت ميركل بأن "عودة تركيا لعقوبة الإعدام فيما يتعلق بالانقلابيين سيحول بين تركيا والاتحاد الأوروبي".

بغض النظر عن محاولة الانقلاب ودوافعها وأسباب فشلها والتي عجت بها وسائل الإعلام، أود أن ألقي الضوء هنا على أهمية الوسط السياسي الذي يتغلغل في تركيا بشكل خاص ثم في أي دولة بشكل عام. إن الأصل في الوسط السياسي أن يكون بمنأى عن المؤسسة العسكرية، كما أن المؤسسة العسكرية يجب أن لا تكون جزءا من الوسط السياسي. فالوسط السياسي هو المنوط به إدارة وتوجيه الدفة السياسية للدولة وتحديد مسارها في الداخل والخارج. إلا أن الوضع في تركيا مختلف. فالمؤسسة العسكرية منذ قيامها مطلع القرن الماضي وهي التي تفرض النمط السياسي في تركيا وتضمن استمرار علمانية الكماليين والصد عن سبيل الله وعن عودة الإسلام إلى تركيا. بل إن المؤسسة العسكرية بقيت وباستمرار حامية للنفوذ الإنجليزي في تركيا، حتى إذا جاءت الانتخابات بأي طرف لا يدين لبريطانيا بالعمالة والولاء، تدخل العسكر مباشرة لإقصائه عن الحكم. وقد حصل ذلك أربع مرات خلال الخمسين سنة الماضية وتحديدا سنة 1960 وسنة 1971 وسنة 1980 وسنة 1997 وآخرها 15 تموز 2016 والذي باء بالفشل. وفي كل مرة يعلن الانقلابيون أن هدفهم الإبقاء على تركيا ضمن المسار الذي حدده انقلاب مصطفى كمال الذي أطاح فيه بنظام الخلافة.

ولا شك أن العسكر في تركيا يساندهم جيش من أدعياء العلمانية ومريديها وعملاء الغرب والمضبوعين بثقافة وحضارة الغرب، وأعداء الإسلام السياسي. فكل هؤلاء يشكلون وسطا قويا يجعل من أي حركة بأي اتجاه مغاير تكاد تكون مستحيلة.

أما أردوغان فقد وصل إلى الحكم بدعم وتأييد من طرفين مهمين لا ينتميان بشكل قوي إلى الوسط السياسي ومنه العسكري في تركيا. فعلى الصعيد الخارجي ارتبط أردوغان وحزبه بأمريكا لتأمين دعم أمريكا له ولحكمه على الصعيد الدولي. ولعل ما ورد على لسان حليفه السابق أربكان في لقائه مع أحمد منصور في برنامج بلا حدود يؤيد ذلك. حيث قال إن أردوغان تحالف مع الأمريكان ليحصل على دعمهم في حكم تركيا. أما الطرف الثاني الذي اعتمد عليه أردوغان فهو المشاعر الإسلامية لدى الشعب التركي والتي تمكن من الوصول إليها من خلال حركة فتح الله غولن ذات الأصول الصوفية والتي تقيم علاقات وطيدة مع أمريكا.

وقد أدرك أردوغان منذ وصوله إلى الحكم أن الوسط السياسي والعسكري القائم في تركيا سيكون حجر عثرة أمام مشاريعه وحتى استمراره بالحكم. وقد حاول أردوغان تقليص أثر المؤسسة العسكرية في المجلس الأمني التركي. ولكنه لم يتمكن من تحييد المؤسسة العسكرية بالكامل. ولعل عملية إسقاط الطائرة الروسية بأوامر مباشرة من العسكر والتي أحرجت أردوغان أمام روسيا وأمريكا على حد سواء تظهر حجم التناقض بين الطرفين.

وبالتالي فإن أردوغان لم يكن ليدع فرصة مثل محاولة الانقلاب ليقوم بعمليات تطهير واسعة للوسط السياسي والعسكري. وقد ورد على لسان أردوغان قوله "كانت محاولة الانقلاب الفاشلة هبة من الله". وقد شبه بعض السياسيين محاولة الانقلاب الفاشلة بأحداث 11/9/2001 في أمريكا التي استغلتها أمريكا لتحقيق أهداف استراتيجية. ولعل سرعة تحرك أردوغان في تطهير الوسط السياسي والعسكري قد جعل بعض المحللين يظنون أن محاولة الانقلاب مدبرة ومرتبة سلفا.

أما الغرب فقد استفزته عمليات التطهير هذه لأنها نالت من مراكز القوى التي طالما استخدمت نفوذها للتأثير على حكومة أردوغان وضبطها. أما أمريكا فإنها تعلم أن العسكر موالون للإنجليز وأنهم ليسوا على نهجها، ولكنها تعلم أيضا أن وجودهم القوي في تركيا يجعل استسلام أردوغان لأمريكا أشد وارتماءه في أحضانها أعمق. فهي تريد تقليص أثر العسكر على أردوغان ولكنها لا تريد إزالته بالكامل. كذلك فإن أمريكا ومن خلال جماعة فتح الله غولن تبقي أردوغان تحت الضغط المباشر، فهي تخشى من ضرب هذه الجماعة أن تفقد أداة من أدوات التأثير على أردوغان. أما بريطانيا فإن مدخلها الرئيسي إلى تركيا هو العسكر، وهي تعلم أن الضمان الوحيد لعدم عودة الخلافة التي قضت على وجودها في تركيا هي المؤسسة العسكرية التي بنيت على كراهية الإسلام وحب العلمانية الكمالية الكافرة. وكذلك فرنسا وألمانيا تخشيان من زوال الوسط السياسي تحديدا والموالي للغرب أن يؤدي إلى إيجاد فراغ سياسي وفكري قد يملؤه وسط سياسي وفكري جديد يتبنى أفكارا وتوجهات إسلامية. ولعل خطاب مدير مخابرات تركيا الذي تحدث عن ولادة جديدة لمحمد الفاتح ولقلب الدين أرسلان ولو بعد أكثر من 30 سنة فيه ما يخيف.

والحاصل أن الوسط السياسي ومنه العسكري له أشد الأثر على سير الدولة وتحقيق غاياتها الاستراتيجية والتكتيكية. فدولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة حين قيامها بإذن الله يجب أن تحرص أشد الحرص على أن لا يكون في الدولة أي وسط سياسي مخالف أو مناقض للدولة سواء من حيث ما يتبناه من أفكار أو ما يحمله من ولاءات. والأهم من كل ذلك أن لا يكون لمؤسسة الجيش أي تأثير مباشر أو غير مباشر على الوسط السياسي وعلى إدارة شؤون الدولة. فالمؤسسة العسكرية يجب أن تبنى على قاعدة واحدة فقط وهي الجهاد وحمل رسالة الإسلام للعالم.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد ملكاوي

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon