تصويب الخطاب وتصحيح الأفكار والمفاهيم يقوم به المخلصون أما العملاء فاستئصالهم فريضة
تصويب الخطاب وتصحيح الأفكار والمفاهيم يقوم به المخلصون أما العملاء فاستئصالهم فريضة

الخبر: نقلت روسيا اليوم على موقعها الأربعاء 2021/9/15م، قول الرئيس المصري إن القناعة بتصويب الخطاب الديني تتحول إلى إرادة مستمرة، وأنه "لو عندك قناعة بموضوع ما هتتشكل إرادة من أجل معالجة هذا الموضوع"، وأضاف السيسي بمداخلة هاتفية عبر برنامج التاسعة المذاع على فضائية الأولى قائلا: "شوفوا شكل الدنيا في العالم عاملة إزاي..

0:00 0:00
Speed:
September 19, 2021

تصويب الخطاب وتصحيح الأفكار والمفاهيم يقوم به المخلصون أما العملاء فاستئصالهم فريضة

تصويب الخطاب وتصحيح الأفكار والمفاهيم يقوم به المخلصون
أما العملاء فاستئصالهم فريضة


الخبر:


نقلت روسيا اليوم على موقعها الأربعاء 2021/9/15م، قول الرئيس المصري إن القناعة بتصويب الخطاب الديني تتحول إلى إرادة مستمرة، وأنه "لو عندك قناعة بموضوع ما هتتشكل إرادة من أجل معالجة هذا الموضوع"، وأضاف السيسي بمداخلة هاتفية عبر برنامج التاسعة المذاع على فضائية الأولى قائلا: "شوفوا شكل الدنيا في العالم عاملة إزاي.. وده نتيجة استخدام نصوص معينة بطريقة معينة، لفت على العالم كله"، وتابع قائلا: "شوفوا كم الخراب اللي بيحصل في العالم.. وعدد القتلى!"، مشيرا إلى أن هذه الأسباب كافية لإعادة بناء فهم وتفكير كل مواطن، وأوضح الرئيس السيسي أن تصويب الخطاب الديني هو عبارة عن عملية ديناميكية ومستمرة وليست مؤقتة، وهذا يرجع إلى تطور الإنسانية في عالمنا، مشيرا إلى شكل الحياة أيام النبي محمد عليه الصلاة والسلام، وشكلها في الوقت الحالي، وأردف متسائلا: "هل إحنا كمسئولين محتاجين إننا نفهم ونفكر وندرس ما نحن فيه ونغيره، ولا إحنا ما زلنا مصرين على موقفنا ومش هنغير حاجة!"، وأضاف: "ممكن نخطئ في مسألة وننجح في مسألة تانية.. لا بأس.. إحنا خايفين من إيه.. ده الناس بتعمل حاجات غريبة في الدنيا وربنا شايف ومطلع علينا وساكت.. صابر علينا.. عشان عارف إن إحنا بشر وضعاف".


التعليق:


لا زال الرئيس المصري يعلن للعالم ويسوق نفسه للغرب كرأس حربة في صراعه مع الإسلام ولا زال يصر على تنفيذ ما يملى عليه من سياسات يظن هو وسادته من خلالها أنهم يهدمون الإسلام من جذوره بها ويحتكرون خطابه ويتحكمون في طريقة فهمه وفهم أحكامه، ويجففون أي منابعَ لفهم الإسلام بطريقة لا يرضى عنها الغرب، لا زال الرئيس المصري يعمل في الإطار نفسه؛ تجديد وتصويب الخطاب الديني على حد زعمه! ومحاولة تدجين الإسلام وفهمه بالشكل الذي لا يؤرق الغرب ولا يعترض على رأسماليته التي تحكم بلاد الإسلام، مستغلا جهل الناس بالإسلام وأحكامه لعقود خلت حمل فيها المسلمون الكثير من أفكار الغرب التي اختلطت على الناس، فهل يحتاج الناس حقا لتصويب الخطاب؟! وما الذي يحتاجه الناس ومن يمكنه القيام به على الوجه الصحيح وكيف؟


قبل ما يقارب المئة عام أسقط الغرب دولة الخلافة الإسلامية، سبقها عمل حثيث لهدم وتغييب أفكار الإسلام وفصل المسلمين عنها وخلطها بأفكار الغرب حتى كانت النتيجة إعلان هدم الخلافة، وبعدها كان استمرار العمل لمنع إقامتها من جديد بمحاولة هدم كل فكرة من الإسلام يمكن أن توجدها من جديد، ولا زال العمل مستمرا خاصة بعد تململ الأمة وثورتها على الرأسمالية.


لا شك أن هناك الكثير من المفاهيم المغلوطة التي تحتاج لتصحيح وكثيراً من الأفكار الخبيثة التي تحتاج للهدم، لكنها قطعا ليست أفكار الإسلام ولا مفاهيمه بل ما علق بالإسلام وعقيدته من أفكار الغرب ومفاهيمه التي يروج لها الرئيس المصري ويدعونا لفهم الإسلام على أساسها وفي ضوئها، فالإسلام الذي نزل على رسول الله ﷺ نزل كاملا تاما؛ فيه ما يصلح حال الناس ويعالج كل مشكلاتهم إلى قيام الساعة، علاجا صحيحا يوافق فطرتهم، وقد حكم الإسلام وعدل وعالج حقا مشكلات الناس ونهض بهم من جاهلية وانحطاط حتى صارت دولته هي الأولى في العالم بقوة أفكارها وعدلها ورحمتها بالناس ومنهم غير المسلمين الذين استظلوا بظلها ونعموا بعدلها.


لا يستطيع العملاء تصحيح مفاهيم الناس ولا تصويب خطابهم ففاقد الشيء لا يعطيه! فهم أنفسهم يحتاجون لعمل لتصحيح أفكارهم أو إزالة خبثهم وأذاهم الذي ملأ البلاد وطال كل العباد، نعم فتصحيح أي مسار لا يكون بعود أعوج بل يحتاج استقامة ولا يأتمّ الناس بكاذب غاش وإلا أضلهم، فالأصل هو استئصال هؤلاء العملاء لا أن يكونوا هم القائمين على تصويب الخطاب الديني للناس وتصحيح مفاهيمهم كما يدعون!


إن استئصال العملاء واجب يقع على أبناء الأمة المخلصين في الجيوش وعلى رأسهم جيش الكنانة أحفاد الناصر صلاح الدين والمظفر قطز، أحفاد المجاهدين العظام الذين انتصروا لهذا الدين وكانوا درعا لدولته أمام أجداد الرأسماليين الذين اجتاحوا الإسلام وهدموا دولته ولا زالوا يطوقون الأمة بطوق التبعية حتى الآن ولن تنجو الأمة إلا باحتضان المخلصين في الجيوش لأفكار الإسلام واقتلاع هؤلاء الحكام العملاء وكلاء الغرب وإقامة دولة الإسلام الخلافة الراشدة على أنقاض عروشهم، فمن للإسلام غيرهم ومن ينصره سواهم؟!


إن ما يحتاجه الناس حقا هو تصحيح طريقة تفكيرهم لتصبح على أساس الإسلام وعقيدته وحينها لن يتسلط عليهم العملاء ولن يحتاجوا لعيون أخرى لقراءة النصوص ولن تكون معضلتهم فهم ما نقله التابعون بل سيكون همهم الاجتهاد واستنباط أحكام شرعية لما يستجد من أحداث، إلا أن هذا لا يمكن للعملاء القيام به بل لا يقوم به إلا المخلصون والعلماء الربانيون الذين لا يقتاتون من خبز الحكام العملاء ولا يخشون في الله لومة لائم، قال ﷺ: «يا كعبَ بنَ عُجْرَةَ أعيذُك باللَّهِ من إمارةِ السُّفَهاءِ قال وما ذاكَ يا رسولَ اللَّهِ قال أمراءٌ سيَكونونَ من بعدي من دخلَ عليهم فصدَّقَهم بحديثِهم وأعانَهم على ظلمِهم فليسوا منِّي ولستُ منهم ولم يرِدوا عليَّ الحوضَ ومن لم يدخل عليهم ولم يصدِّقهم بحديثِهم ولم يعِنهم على ظلمِهم فأولئِك منِّي وأنا منهم وأولئِك يرِدونَ عليَّ الحوضَ» إلا أن تصحيح أفكار الناس بعمومهم وإيجاد الوعي لديهم بما يمكنهم من فهم الإسلام فهما صحيحا يقيهم خبث الغرب وتلونه، غيرُ ممكن في ظل تلك الأنظمة العميلة التي تحكم بلادنا وتمنع ظهور أي صوت يعمل على تصحيح مفاهيم الإسلام وهدم أفكار الغرب التي علقت بها فالأمة تحتاج حتما لهدم هذه الأنظمة التي تتبنى سياسات الغرب، وإقامة دولة الإسلام التي تتبنى أفكاره ومفاهيمه وتستأنف بالناس حياتهم الإسلامية من جديد في دولة خلافة راشدة على منهاج النبوة ترعى دين الناس ودنياهم، نسأل الله أن تكون قريبة وأن نكون من جنودها وشهودها وأن تكون مصر حاضرتها.


﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ اسْتَجِيبُواْ لِلّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُم لِمَا يُحْيِيكُمْ﴾


كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
سعيد فضل
عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية مصر

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon