(وَلَا تَكُونُوا كَالَّذِينَ قَالُوا سَمِعْنَا وَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ)!
(وَلَا تَكُونُوا كَالَّذِينَ قَالُوا سَمِعْنَا وَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ)!

الخبر:   في 3 نيسان/أبريل، بدأ الجيشان الروسي والطاجيكي تدريبات مشتركة عبر حدود أفغانستان تستمر حتى 7 نيسان/أبريل، حسبما ذكرت وكالة أنباء تاس الروسية يوم الاثنين. تجري التدريبات في ساحة تدريب خرب ميدون في طاجيكستان، على بعد 20 كيلومتراً من حدود أفغانستان. ستمارس روسيا وطاجيكستان التحضير لعملية مشتركة وتنفيذها على التضاريس الجبلية للقضاء على الجماعات المسلحة الخارجة عن القانون التي تتدخل في أراضي دولة حليفة، ...

0:00 0:00
Speed:
April 09, 2023

(وَلَا تَكُونُوا كَالَّذِينَ قَالُوا سَمِعْنَا وَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ)!

﴿وَلَا تَكُونُوا كَالَّذِينَ قَالُوا سَمِعْنَا وَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ!

(مترجم)

الخبر:

في 3 نيسان/أبريل، بدأ الجيشان الروسي والطاجيكي تدريبات مشتركة عبر حدود أفغانستان تستمر حتى 7 نيسان/أبريل، حسبما ذكرت وكالة أنباء تاس الروسية يوم الاثنين. تجري التدريبات في ساحة تدريب خرب ميدون في طاجيكستان، على بعد 20 كيلومتراً من حدود أفغانستان. ستمارس روسيا وطاجيكستان التحضير لعملية مشتركة وتنفيذها على التضاريس الجبلية للقضاء على الجماعات المسلحة الخارجة عن القانون التي تتدخل في أراضي دولة حليفة، وكذلك ممارسة القيادة والسيطرة على القوات المشتركة لعرقلة وتدمير تشكيل مسلح غير قانوني. منذ أن استعادت طالبان السيطرة على البلاد، انخرط الجيشان الروسي والطاجيكي مراراً في مناورات مماثلة على طول الحدود الأفغانية. ومع ذلك، فقد رفض مسؤولو طالبان باستمرار المخاوف بشأن تهديدات "الإرهابيين" التي تنطلق من أفغانستان إلى الدول الأعضاء في منظمة معاهدة الأمن الجماعي.

التعليق:

لا شك في أن نصر الله سبحانه وتعالى مكّن المجاهدين الأفغان من التغلب على قوات أمريكا وحلف شمال الأطلسي في أفغانستان. لكن هذا الانتصار تحقق لأن المجاهدين الأفغان حاربوا الكفار الأجانب المتغطرسين بأيد فارغة على أساس الإسلام من خلال الثبات والصبر والتحمل على طول الطريق. ومع ذلك، بعد استعادة السيطرة، أقامت طالبان علاقات دبلوماسية مع جميع جيران أفغانستان، وحتى مع أعداء محاربين مثل الصين وروسيا بناءً على المصالح الوطنية، بالإضافة إلى تقديم تأكيدات بأنه لن يتمّ توجيه أي تهديدات من أفغانستان تجاههم. وعلى الرغم من ذلك، لا تزال هذه الدول لا تشعر بالأمان وتتخذ إجراءات مختلفة استجابةً لمخاوفها، والتي تعد التدريبات العسكرية المشتركة بين روسيا وطاجيكستان مجرد مثال على ذلك.

ولو ألقى المرء نظرة فاحصة على صراع المجاهدين الذي دام 20 عاماً ضد الاحتلال الصليبي لأفغانستان، فسيجد أنه يشبه إلى حد كبير الصراع الذي حصل في معركة بدر التي شهدت قتال طرفين غير متكافئين. وعلى غرار المسلمين في معركة بدر الذين كانوا يمتلكون مثل هذا النوع البسيط من الأسلحة وكانوا أقل بثلاث مرات من قريش، كذلك واجه المجاهدون الأفغان أمريكا وحلف شمال الأطلسي بمعدات بسيطة جداً وعدد قليل من الجنود. ومع ذلك، فقد نجحوا في هزيمة الكفار وقتلهم وأسرهم ومقايضة الأسرى. في النهاية، ومن خلال نصر الله، أجبر الكفار على الفرار من أفغانستان. لذا يجب على المجاهدين الأفغان تقييم أنفسهم في ضوء سورة بدر أو الأنفال في هذا الصدد.

 يقول الله سبحانه وتعالى: ﴿فَلَمْ تَقْتُلُوهُمْ وَلَٰكِنَّ اللَّهَ قَتَلَهُمْ وَمَا رَمَيْتَ إِذْ رَمَيْتَ وَلَٰكِنَّ اللَّهَ رَمَى وَلِيُبْلِيَ الْمُؤْمِنِينَ مِنْهُ بَلَاءً حَسَناً إِنَّ اللَّهَ سَمِيعٌ عَلِيمٌ﴾، وبنبرة مماثلة، يربط الله سبحانه وتعالى النصر بنفسه فقط، فيقول سبحانه: ﴿وَمَا النَّصْرُ إِلَّا مِنْ عِندِ اللَّهِ إِنَّ اللَّهَ عَزِيزٌ حَكِيمٌ﴾.

يذكر الله سبحانه وتعالى بوضوح في الآية التاسعة والثلاثين من السورة نفسها أن هذه المعركة لن تقتصر على بدر بل ستستمر بقدر ما تستمر الفتنة على وجه الأرض (أي حتى يوم القيامة). فاستعدوا للحروب الكبرى بين الكفر والإسلام، كما قال الله سبحانه وتعالى في منتصف سورة الأنفال أن هذه المعركة لا تقتصر على بدر فحسب، بل ستستمر حتى يوم القيامة، ما لم يتم القضاء على الفتنة (أي الكفر).

﴿وَقَاتِلُوهُمْ حَتَّىٰ لَا تَكُونَ فِتْنَةٌ وَيَكُونَ الدِّينُ كُلُّهُ لِلَّهِ﴾.

وبحسب سورة الأنفال، يجب على المجاهدين الأفغان اختيار مصالح الأمة الإسلامية على أساس الإسلام فوق المصالح الوطنية المحرمة، والتحلي بجميع الصفات الروحية التي ذكرت في بداية سورة الأنفال عن المؤمنين الحقيقيين؛ والاستعداد للحروب الكبرى بين الكفر والإسلام بكامل طاقتهم وقدراتهم وتنظيمهم، والاستعداد مادياً لكل الصفات المشار إليها في آيات سورة الأنفال الأخيرة: ﴿وَالَّذِينَ آمَنُوا وَهَاجَرُوا وَجَاهَدُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ وَالَّذِينَ آوَوا وَّنَصَرُوا أُولَٰئِكَ هُمُ الْمُؤْمِنُونَ حَقّاً لَّهُم مَّغْفِرَةٌ وَرِزْقٌ كَرِيمٌ﴾.

ويمكن هذا فقط إذا قامت أفغانستان وغيرها من البلاد الإسلامية بإلغاء الحدود الوطنية، وأن يصبح بعض المجاهدين الحاليين (المهاجرين) والمجاهدون الأفغان (الأنصار)؛ وإقامة الخلافة الراشدة الثانية، ومواصلة الجهاد لاستئصال الفتنة (أي الكفر).

إن النصر والقوة والسلطة التي أوكلت إليكم (أي إلى المجاهدين الأفغان) هي "وصاية"، يجب الحفاظ عليها وفقاً للعهد وليس كما حدث مع بني إسرائيل حين نقضوه. وهذا العهد يقتضي تطبيق الإسلام داخليا وحمله للناس خارجيا بالدعوة والجهاد، والظهور كأمة الخير والشهادة والعدل وفقا للسياسة الخارجية للدولة الإسلامية. وإذا فشلتم في ذلك من خلال الاستمرار في إشغال أنفسكم بغنائم الحرب التي خلفها الغزاة الصليبيون؛ واستمريتم بالمطالبة بالاعتراف بكم من جانب الكفار؛ والسيطرة على أراضي أفغانستان فقط، واستخدام الحكم للتركيز فقط على الأمن الجيد والاقتصاد وإعادة الإعمار مع التنافس أيضاً مع الدول القومية الأخرى، فإن الآية التالية من سورة الأنفال سوف تنطبق عليكم: ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَخُونُوا اللَّهَ وَالرَّسُولَ وَتَخُونُوا أَمَانَاتِكُمْ وَأَنتُمْ تَعْلَمُونَ﴾.

وتنص السنة النبوية على أن لكل خائن لواءً مثبتا في ظهره في الآخرة، ويكون ارتفاعه متناسباً مع غدره وخيانته، ويكون لواء القائد (أمير العامة) هو الأعلى.

لذلك يجب أن تدركوا أن الكفار حذرون منكم ولن يثقوا بكم إلا إذا قبلتم دينهم (القوانين الدولية، النظام العالمي، الاقتصاد العالمي، قرارات الأمم المتحدة، حقوق الإنسان، حقوق المرأة، إلخ)؛ ولكنكم، إذا فعلتم ذلك، فسوف تفقد الأمة إيمانها بكم وستتوقف عن توقع الخير منكم.

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سيف الله مستنير

رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية أفغانستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon