وضع الخطة الوطنية بشأن المرأة وتنفيذ قرار مجلس الأمن 1325 ملزم لأمريكا أوّلا وللغرب الاستعماري
وضع الخطة الوطنية بشأن المرأة وتنفيذ قرار مجلس الأمن 1325 ملزم لأمريكا أوّلا وللغرب الاستعماري

الخبر:   تونس تبدأ بتفعيل قرار مجلس الأمن رقم 1325 لتمكين المرأة في قضايا السلام والأمن. ()

0:00 0:00
Speed:
July 10, 2018

وضع الخطة الوطنية بشأن المرأة وتنفيذ قرار مجلس الأمن 1325 ملزم لأمريكا أوّلا وللغرب الاستعماري

وضع الخطة الوطنية بشأن المرأة وتنفيذ قرار مجلس الأمن 1325

ملزم لأمريكا أوّلا وللغرب الاستعماري

الخبر:

تونس تبدأ بتفعيل قرار مجلس الأمن رقم 1325 لتمكين المرأة في قضايا السلام والأمن. ()

التعليق:

يهدف قرار مجلس الأمن رقم 1325 وندوة هيئة الأمم المتحدة تحت عنوان "لا سلام دون نساء" والتي انعقدت في تونس بفندق "أكروبول" بالبحيرة يوم 04 تموز/يوليو 2018 بشأن المرأة والسلام والأمن إلى مراعاة خصوصية المرأة، وإشراكها في عمليات الحفاظ على الأمن وبناء السلام، وخصوصا في المناطق المتضررة من النزاع، وتأمين احتياجاتها الخاصة.

وشددت مديرة مركز "كوثر"، سكينة بوراوي، خلال الندوة على أن "الخطة الوطنية تم ضبطها بالشراكة بين الهياكل الحكومية والمجتمع المدني، وبدعم من فنلندا وهيئة الأمم المتحدة، وتهدف إلى تمكين النساء والفتيات من تعزيز مشاركتهن الفعالة في بناء السلام الدائم والاستقرار، والمساهمة في القضاء على جميع أشكال التمييز القائم على النوع الاجتماعي، والعمل على تحصين المجتمع ضد مخاطر النزاعات و(التطرف) و(الإرهاب).

ولسائل أن يسأل قبل قرار 1325 ماذا حققت قرارات مجلس الأمن والتي مضى عليها أكثر من 70 سنة وأقلها 15 سنة، على الصعيد الدولي للمرأة في فلسطين والعراق والشيشان وسوريا وبورما وغيرها، في قراراته السبعة السابقة مثل قرارات مجلس الأمن المرقمة تحت: (1820 - 1888- 1889 - 1960 - 2106 - 2122 - 2242) بشأن المرأة والسلام والأمن، وأين المساءلة والمحاكمة؟!!

ما اطلعنا عليه خلال الندوة هو إقصاء تام لصوت المرأة المسلمة حول قرار 1325 بشأن المرأة وتكراره في الكلمات على شكل دعاية من مركز المرأة العربية للتدريب والبحوث "كوثر" وغيرها من المنظمات يوجب علينا القول بأن القرار 1325 الصادر من مجلس الأمن هو وصاية أجنبية على البلاد وتدخل فاضح في شؤون المرأة المسلمة فكان على منظمة المجتمع المدني ووزارة الشؤون الدينية التي لم تشارك بكلمة في هذه الندوة ولو بمداخلة واحدة رغم حضور من يمثلها من النساء المسلمات ورغم فتح باب المداخلات للهيئات والممثلات...!

كان على كل هؤلاء أن يقيموا الندوة في أمريكا لكي تلتزم الأخيرة - قاتلة المرأة والأطفال والشيوخ - بالقرار (1325) قبل إلزام المسلمين بها!

فأين المحاسبة والعقاب لمرتكبي الجرائم الدولية مثل "جريمة الإبادة الجماعية والجرائم ضد الإنسانية وجرائم الحرب" وبخاصة جرائم السفاح بشار وجرائم كيان يهود؟! والسبب في ذلك هو غياب الإرادة السياسية للدول القائمة في العالم الإسلامي من جهة وشلل مجلس الأمن بسبب استخدام الفيتو من قبل بعض الأعضاء الدائمين عندما يتعلق الأمر بالمطالبة بإحالة أوضاع محددة إلى المحكمة الجنائية الدولية.

لقد اعترى النظام الرأسمالي الأشرّ الضعف المتمثل خاصة في عدم الإشارة إلى قاتلي النساء الروهينجا في ميانمار، والمسلمات في العراق وسوريا واليمن وأفريقيا الوسطى ومالي... مما يعني ضمنا الإشارة إلى الاحتلال بصفته "نزاعا دوليا مسلحا" ولكن نصوص القرار لم تأت بكلمة واحدة على موضوع الاحتلال بل على مخلّفات الاحتلال!

وعليه فالقرار أوْلى أن تلتزم به أمريكا والغرب الاستعماري وأولى أن يمنعوا الدول دائمة العضوية في مجلس الأمن عن استخدام حق النقض الفيتو عندما يتعلق الأمر بملاحقة مجرمي الحرب ومرتكبي الجرائم ضد المسلمين وضد المرأة المسلمة في كل مكان فاسمحوا بتفعيل آليات المساءلة ووضعها موضع التطبيق بدل التشجيع لمرتكبي الجرائم الدولية بالاستمرار في جرائمهم.

كلمة أخيرة لسفيرة فنلندا في تونس، لينا كاردمايستر، إن تونس لم تصبح البتة مثالا يُحتذى على مستوى ضمان حقوق المرأة كما ذكرتِ خلال الندوة، بل إن القانون الدولي قواعده ومبادئه سيبقى حبرا على ورق ما لم تتوقف أمريكا والغرب الكافر عن مساندة مجرمي الحرب، فحديثك هو عن واقع افتراضي قد فشل الغرب الكافر نفسه في تحقيق قراراته الخيالية وغير الواقعية، مما يفصل بين الحق والباطل.

والمشاركة الفعالة للنساء المسلمات لن تتم؛ لأننا نرفض "سيداو" ونرفض اتفاقياتكم لأننا ننظر للقضايا من وجهة نظر الإسلام ومرجعيتنا في ذلك العقيدة الإسلامية،

فالحرب هي حرب أفكار بين الغرب وبين الإسلام، والواجب أن تتخذ المسلمة موقف الإسلام بشكل واضح وقاطع لا شك فيه، وقرار 1325 يتاجر بالمرأة ولا يحافظ عليها.

وعلى المرأة أن تعمل على إسقاط النظام الرأسمالي الذي وصل لحد كبير من "التمييز" حتى أصبح لا يمتلك قراره ويقامر بالناس ويتاجر بدمائهم من أجل المصلحة والمنفعة.

وإلى وزيرة المرأة والأسرة السيدة "نزيهة العبيدي"! إن استشهادك في الندوة بأن تونس فتحت باب الاجتهاد بعد غلقه في القرن الرابع هجري هو استشهاد في غير مكانه وحق يراد به باطل، وأوجه لكِ السؤال: كيف تأمن المرأة إن لم يَقُدْ البلاد نظام لا يخضع للاستعمار، وكيف يستتبّ الأمن إن لم تكن للمسلمين إرادة سياسية تطبق دولة العدل والرحمة؟

قال الله تعالى: ﴿وَلَنْ يَجْعَلَ اللهُ لِلْكَافِرِينَ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ سَبِيلًا﴾.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

مؤمنة أم مهدي – تونس

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon