وحده الإسلام القادر على توفير نموذج للدولة قابل للتطبيق والحياة (مترجم)
وحده الإسلام القادر على توفير نموذج للدولة قابل للتطبيق والحياة (مترجم)

الخبر:   على مدى الأسابيع القليلة الماضية، كان تركيز أوروبا على التطورات في كاتالونيا منهكا لها كون ذلك من الممكن أن يشكل سابقة قد تشجع الانفصاليين الآخرين على حذو حذوها. وتنتظر حركات الاستقلال التي تُغذي الحماسة القومية وسياسات الهوية بفارغ الصبر نتيجة الوضع في كاتالونيا.

0:00 0:00
Speed:
October 08, 2017

وحده الإسلام القادر على توفير نموذج للدولة قابل للتطبيق والحياة (مترجم)

وحده الإسلام القادر على توفير نموذج للدولة قابل للتطبيق والحياة

(مترجم)

الخبر:

على مدى الأسابيع القليلة الماضية، كان تركيز أوروبا على التطورات في كاتالونيا منهكا لها كون ذلك من الممكن أن يشكل سابقة قد تشجع الانفصاليين الآخرين على حذو حذوها. وتنتظر حركات الاستقلال التي تُغذي الحماسة القومية وسياسات الهوية بفارغ الصبر نتيجة الوضع في كاتالونيا.

التعليق:

إن العودة العدوانية للقومية في أوروبا لا تهدد بتفكك الاتحاد الأوروبي فحسب بل تهدد أيضا وعلى نحو متزايد السلامة الإقليمية لبلدان عدة. أولا، كان هناك انسحاب بريطانيا من الاتحاد الأوروبي، تلاها استعراض للقوة من قبل قوى اليمين المتطرف ذات النزعة القومية في الانتخابات العامة في جميع أنحاء أوروبا. وإلى جانب بريطانيا وهولندا وفرنسا وألمانيا فإن قوى الطرد المركزي هذه نمت بشدة في الآونة الأخيرة وأصبحت خطرا مشؤوما على معاهدة روما. وعلى الرغم من أن الانتخابات الأولى (التعاطف من أجل هوية الدولة القومية) أدت لسنوات عدة إلى انتخابات من الدرجة الثانية (تقارب للهوية الأوروبية) إلا أن عددا قليلا من السياسيين توقعوا مسار الأحداث الحالي. واعتقدت الغالبية العظمى أن التهديد يمكن أن يسيطر عليه.

إذا اعتقدت نخبة أوروبا بطريقة أو بأخرى أنها تستطيع إدارة النزعة القومية المفرطة للدول الأوروبية، فإنها تواجه اليوم الإقليمية في دول تحفزها قوى التدمير ذاتها. الانتخابات من الدرجة الثالثة - التصويت من أجل الإقليمية - يمكن أن يصبح القاعدة الأوروبية الجديدة. وتعليقا على الأحداث الأخيرة في كاتالونيا، تقول باربرا لوير، الأستاذة في المعهد الفرنسي للجغرافيا السياسية في جامعة باريس الثامنة "إن احتمال زعزعة الاستقرار [في بقية أوروبا] كبير جدا". في رأيها، فإن استخدام القوة من قبل مدريد لكبح الانفصاليين في كاتالونيا هو "هبة من أجل الإقليمية في أوروبا".

لقد أصبحت حركة استقلال كاتالونيا في طليعة العديد من الحركات الانفصالية الأوروبية. الباسك، والاسكتلنديون، والآيرلنديون، والفلمنكيون يرقبون بفارغ الصبر تكشّف الأحداث في إسبانيا ويخططون لمشاريعهم الخاصة لإقامة الدولة. إن بلقنة أوروبا هي احتمال حقيقي وحكم بالإعدام على نموذج وستفاليا للسيادة القومية.

ويرتبط مصير أوروبا بطرق عديدة بفشل نموذج ويستفاليا للسيادة القومية. ويعتمد هذا النموذج الذي ينظم العلاقات بين الدولة والناس على القومية باعتبارها القوة الملزمة للرعية من مختلف الهويات. ومع ذلك، فإن القوة الملزمة في كثير من الأحيان تقوم على هوية الأمة المهيمنة أو الناس في المجتمع. ففي بريطانيا، يأتي العِرق الإنجليزي، فوق هوية الأسكتلنديين، والأيرلنديين والويلزيين ويملي القوة القومية المهيمنة. وفي ظروف محددة، تكون هوية الدولة المهيمنة أكثر من كافية للحفاظ على الأمة معا، وحتى توفير الوقود للنزعة القومية المفرطة التي يمكن أن تسبب احتكاكا خارجيا شديدا بين الدول، ما قد يؤدي إلى حرب عالمية - الحرب العالمية الأولى والثانية.

وخلال فترات السلم أو الفترات الطويلة من الركود الاقتصادي والتراجع، يمكن للقومية أن تتحول في الغالب إلى الداخل وتسبب مصادمات في الهوية مع الناس من مناطق أخرى داخل الدولة. وبالتالي، فقد كافح الإسبانيون منذ فترة طويلة مع دولة الباسك وكاتالونيا. وقد انخرط الإنجليز في مناوشات مطولة مع الأيرلنديين والأسكتلنديين. وتواجه بلدان أوروبية عدة توترات مماثلة. وإلى جانب القارة الأوروبية، يمكن العثور على قوى إقليمية مماثلة في أمريكا. ففي أمريكا العديد من الحركات الانفصالية التي تشكل نذيرا لما يشبه نموذج ويستفاليا، لا سيما في ولاية كاليفورنيا.

وفي مكان آخر يواجه نموذج الدولة القومية أزمة أكثر خطورة. فالإسلام يقوض نموذج الدولة القومية المصدَّرة بشكل مصطنع في العالم الإسلامي، والهند - أكبر ديمقراطية في العالم - تقاتل باستمرار العديد من حركات الاستقلال للحفاظ على فكرة (الهند الأم) حية.

وباختصار، فإن أيام نموذج وستفاليا معدودة، والمطلوب طريقة جديدة لتنظيم العلاقات بين الناس والدولة. إن الاتحاد الأوروبي، وهو شكل سري للإمبراطورية المقنعة كتجربة ما بعد الحداثة هو الوقوع كفريسة في يد قوى الطرد المركزي المتمثلة في القومية والإقليمية. إن فترة ما قبل العصر الحديث - من الإمبراطورية - وفرت قرونا من الاستقرار ولكنها مهدت الطريق للدولة الحديثة على أساس القومية. وبالتالي، فإن العالم يحتاج إلى بدائل للإمبراطورية والدولة القومية والاتحاد الأوروبي، كوسيلة لتنظيم العلاقات بين الناس والدولة، وتهميش القوى القومية والإقليمية بشكل دائم.

في الإسلام، الخالق عز وجل وليست القومية المهيمنة هو الذي يوفر الدافع اللازم لربط رعايا الدولة. لقد قضى الإسلام لقرون عدة على القوى القومية والإقليمية بشكل طبيعي من خلال منح رعايا دولة الخلافة على اختلاف مشاربهم وأعراقهم القدر ذاته من الحقوق - الحياة الآمنة والرفعة وحماية الممتلكات وسبل العيش والعبادة دون اضطهاد ومن ثم حمايتهم من التهميش والاضطهاد. وإذا ما تعدت دولة الخلافة على الحقوق، قام رعاياها بتصحيحها وتقويمها. واليوم، فإن الإسلام هو الحل الشافي الوحيد للاحتكاك الخطير فيما يتعلق بسياسات الهوية الذي يظهر على هيئة قومية وإقليمية في جميع أنحاء العالم.

يقول الله تعالى: ﴿يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَى وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَتْقَاكُمْ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عبد المجيد بهاتي

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon