وقف إطلاق النار بين حماس وكيان يهود الغاصب
وقف إطلاق النار بين حماس وكيان يهود الغاصب

الخبر:   دخل اتّفاق وقف إطلاق النّار لمدة أربعة أيام بين حماس وكيان يهود الغاصب حيّز التنفيذ في 24 تشرين الثاني/نوفمبر، والذي شمل إطلاق سراح 50 محتجزاً يهودياً مقابل 150 سجيناً فلسطينياً ووصول الوقود والمساعدات الإنسانية إلى غزة.

0:00 0:00
Speed:
December 06, 2023

وقف إطلاق النار بين حماس وكيان يهود الغاصب

وقف إطلاق النار بين حماس وكيان يهود الغاصب

(مترجم)

الخبر:

دخل اتّفاق وقف إطلاق النّار لمدة أربعة أيام بين حماس وكيان يهود الغاصب حيّز التنفيذ في 24 تشرين الثاني/نوفمبر، والذي شمل إطلاق سراح 50 محتجزاً يهودياً مقابل 150 سجيناً فلسطينياً ووصول الوقود والمساعدات الإنسانية إلى غزة.

التعليق:

إن إيقاف حرب الـ49 يوماً بين كيان يهود الغاصب وكتائب القسام، الجناح العسكري لحركة حماس، منذ 7 تشرين الأول/أكتوبر، مع وقف إطلاق النار لمدة 4 أيام، هو بلا شك مؤشّر على نجاح كتائب القسام وأهل غزة، وإشارة إلى أن كيان يهود الغاصب في وضع صعب.

ويبرز هذا النجاح في جوانب عدة:

1- وجهت مجموعة صغيرة من المسلمين ذات موارد محدودة ضربة قوية لكيان يهود الغاصب، وأنهت وَهْمَ "الجيش الذي لا يقهر"، وكشفت ضعفه وهشاشته، ودمّرت ثقته بنفسه وشعوره بالتفوق.

2- لأول مرة يشهد العالم كله الاحتلال والتهجير والمجازر والفظائع التي يعيشها الشعب الفلسطيني منذ 75 عاما، لكنها كانت مخفية ومرعبة. لقد شهدت الإبادة الجماعية التي نفذها كيان يهود في غزة بمجازر وحشية وهمجية لا تلتزم بأي قيم. إن هذه الحقائق المروعة، التي رأتها البشرية بوضوح، أنهت النظرة إلى يهود كشعب مظلوم تعرّض للإبادة الجماعية، وأظهرت لها مدى خطورة تهديد كيان يهود الغاصب ليس فقط على فلسطين، ولا على المسلمين وحدهم، بل على البشرية جمعاء.

3- لقد أظهرت أحداث 7 تشرين الأول/أكتوبر للشعوب الإسلامية أن حكامها لا يمثلونها، ومدى انفصالهم عنها وابتعادهم عنها في المشاعر والأفكار، وجعلتهم يدركون الانفصال الكبير والفجوة العميقة بينهم وبين من يحكمهم.

وجعلتهم يدركون كيف حبسهم الغرب الكافر الاستعماري في بلدانهم من خلال هؤلاء الحكام، وكيف قطعوهم عن الأمة، وكيف منعوهم من التحرّك وكيف أوقفوهم.

لقد علمت شعوب المسلمين أن هؤلاء الحكام لا يتّخذون أي خطوات ملموسة في مواجهة ما يحدث في غزة، وأن كيان يهود المحتل يستطيع أن يواصل مجازره في غزة بشجاعة يكتسبها من صمت هذه الأنظمة، وأن هذه الأنظمة هي جزءٌ لا يتجزأ من مشكلة كيان يهود الغاصب، وأنه لا بدّ من التخلص من هذه الأنظمة من أجل تحرير فلسطين.

4- وبدعمها لكيان يهود، كشفت الدول الغربية، وخاصة أمريكا، بوضوح مدى ابتعادها عن الإنسانية، وأنها لا تهتم إلاّ بقوتها ومصالحها، وأنها تعادي الإسلام والمسلمين بشكل علني، وكذلك فضحت نفاق الغرب وزيف القيم الغربية.

5- إن قيام شعوب البلاد الإسلامية وغير الإسلامية بتنظيم مظاهرات كبيرة نصرة لفلسطين وأهل غزة وإدانة للغرب الإمبريالي وكيان يهود الغاصب، رغم كل القيود والمحظورات، وضع فلسطين على أجندة البشرية جمعاء لأوّل مرة، وأدى إلى انقطاع تاريخي كشف أن المشكلة في فلسطين هي وجود كيان يهود الغاصب.

6- موقف وسلوك وتوجه أهل غزة الذين أُسروا في معسكر السّجن والموت، عاجزين ومجردين، أمام مجزرة ووحشية وإبادة جماعية ودمار غير مسبوق في العالم، كان للقوة التي استمدوها من إيمانهم وعقيدتهم أثر كبير على الشعوب الإسلامية والبشرية جمعاء.

إن النضال المشرف والشجاع الذي خاضته مجموعة صغيرة من المؤمنين ضد مجموعة أقوى منها بكثير، كان موضع إعجاب من الشعوب الإسلامية والبشرية جمعاء.

لقد أحدثت غزة صحوة لدى الشعوب الإسلامية ودمرت النظرة الإيجابية لكيان يهود الغاصب والحضارة الغربية لدى الشعوب غير المسلمة.

إن الإيمان الذي جعل مسلمي غزة بهذه القوة جذب انتباه الآخرين وأدى إلى التحول نحو الإسلام والتعاطف مع المسلمين.

7- كل هذا إنجاز عظيم ونصر عظيم.

ولن يعود شيء كما كان من الآن فصاعدا، لا في البلاد الإسلامية ولا في الدول الغربية.

ولا يمكن منع التغيير، ولا يمكن إيقافه، وهو أمرٌ لا مفرّ منه. والإسلام وحده هو الذي سيحدث هذا التغيير.

كل ما تبقى هو أن تتوحد الشعوب الإسلامية في ظلّ الخلافة الراشدة لتشكيل الأمة الإسلامية العظيمة، واقتلاع كيان يهود الغاصب من فلسطين، وإنهاء الهيمنة العالمية للغرب الكافر الإمبريالي، وإظهار تفوق الإسلام على العالم والبشرية جمعاء من خلال تطبيق الإسلام، وإعادة الأمة الإسلامية إلى مكانة أفضل أمة وتولي قيادة العالم.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

رمزي عزيز – ولاية تركيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon