وتستمر الديمقراطية في فضح نفسها (مترجم)
وتستمر الديمقراطية في فضح نفسها (مترجم)

أعلنت اللجنة الانتخابية التنزانية رسمياً، يوم الخميس 29 تشرين الأول/ أكتوبر 2015، فوز مرشح حزب تنزانيا الثوري (CCM) جون ماغوفولي في الانتخابات العامة

0:00 0:00
Speed:
November 04, 2015

وتستمر الديمقراطية في فضح نفسها (مترجم)

الخبر:

أعلنت اللجنة الانتخابية التنزانية رسمياً، يوم الخميس 29 تشرين الأول/ أكتوبر 2015، فوز مرشح حزب تنزانيا الثوري (CCM) جون ماغوفولي في الانتخابات العامة التي جرت يوم الأحد 25 تشرين الأول/ أكتوبر 2015. ورفض حزب الديمقراطية والنمو (تشاديما)، المتنافس على الرئاسة، بشدة نتيجة الانتخابات قائلا أن الانتخابات لم تكن حرة ونزيهة. وشابت انتخابات هذا العام الفوضى والعنف وخاصة في أرخبيل زنجبار الذي يتمتع بحكم شبه ذاتي، حيث ألغت مفوضية الانتخابات المحلية في زنجبار النتائج متعللة بوقوع عمليات غش وتزوير. لكن الإعلان لم يتم تلقيه بإيجابية من قبل الولايات المتحدة التي عبرت من خلال سفارتها عن قلقها الشديد وطالبت بالتراجع عن القرار. وذكرت وكالة أسوشيتد برس أن أعمال عنف اندلعت بعدما قام مرشح الرئاسة، سيف شريف حمد، عن الجبهة المدنية المتحدة (CUF)، بإعلان فوزه. وقد قامت قوات الأمن في زنجبار بمداهمة المنازل مما أسفر عن إصابة عدة أشخاص بالرصاص. ووصفت هذه الانتخابات بأنها تاريخية من قبل وسائل الإعلام المحلية والدولية، حيث شهد إقبالا كبيرا، كما اعتبرت الممارسة مؤشرا للديمقراطية الناضجة.

التعليق:

الانتخابات التي جرت هي الانتخابات التشريعية الخامسة والتي تجري كل خمس سنوات تحت نظام تعدد الأحزاب الديمقراطي - الذي بدأ تطبيقه في البلاد أوائل التسعينات. التوتر وأعمال العنف التي اندلعت في هذه الانتخابات، لا سيما في جزيرة زنجبار، هي ثمار الشر وقذارة السياسة الديمقراطية الفاشلة والماكرة وسياسييها وأحزابها. إنه نظام سياسي يحرض على المفاهيم الفاسدة والخطيرة من الوطنية والقومية التي تعزز الانقسام والكراهية بين أبناء الأمة مما يجعلها تعيش الفتن. ولا يزال التنزانيون وخصوصا الذين يعيشون في زنجبار يتذكرون العنف الذي حصل خلال انتخابات عام 2000، حيث قتل الجيش التنزاني بالرصاص أكثر من 40 شخصا معظمهم من أنصار الجبهة المدنية المتحدة.

إن خلط السياسة بالمال هو السبب الرئيسي والخطأ الفادح الذي يجعل الانتخابات الديمقراطية بعيدة عن كونها حرة ونزيهة وشفافة. بدلا من أن يتم انتخاب الفائزين في الانتخابات الديمقراطية من قبل الناخبين فقط، فإنه يتم اختيارهم ببساطة عن طريق أصحاب الشركات الرأسمالية القلائل الذين يريدون في الواقع حماية مصالحهم. وعلاوة على ذلك، فإن الديمقراطية كإطار سياسي لا يهتم حقا بالشؤون العامة، ومن ثم فإنه لا يعدو كونه مجرد مشروع لإثراء النخب السياسية القليلة. وبالتالي فإنه من الطبيعي رؤية ساسييها يكافحون من أجل التشبث بالسلطة باستخدام كافة الوسائل السيئة مثل القتل والسرقة والبلطجة.

ليس صحيحا الاستناد إلى القول بأن معظم الشباب قد شارك في ممارسة الانتخابات كما يدعي الديمقراطيون. والحقيقة هي أن البشر بطبيعة الحال يحتاجون إلى التغيير ولكن؛ الإشكال هو ما هي التغييرات الأساسية الملحة. وفيما تستمر الديمقراطية في خلق حالة من الفوضى وفضح نفسها فإن ذلك يوفر الفرصة لغالبية التنزانيين لإدراك أن التغيير لا يأتي عن طريق الديمقراطية. إن الديمقراطية تنجح في تحريك العواطف نحو التغيير عن طريق وضع انتخابات دائمية كمحاولة لإنعاش نفسها وخداع الناس لكنها قد انتهى أجلها ونتنت رائحتها. وهذا يؤكد البيان الذي أدلى به من يسمون حماة الاقتراع العام والذين هم في حقيقة الأمر عملاء للرأسماليين الذين دورهم الرئيسي هو تغطية فضائح الديمقراطية وانتخاباتها سريا والتي تظهر أفريقيا كساحة حرب.

يقوم الرأسماليون بإصلاح أيديولوجيتهم التي تحافظ على طمس العالم. دعونا نتذكر أنه قبل إدخال التعددية الحزبية في تنزانيا، شهد الناس فشل السياسات الاشتراكية التي تم إدخالها من قبل جوليوس نيريري كاباراجي التي وصفت بأنها "الاشتراكية الأفريقية". وقد رست السياسات على الأيديولوجية الشيوعية الوثنية، تلك العقيدة القاسية التي كانت تحملها روسيا والتي جلبت التمييز الاقتصادي والتعذيب مما أدى إلى النظر إلى حكومة نيريري ورعاياها على أنها تعاني من الفقر. استغل الرأسماليون الفرصة لإعادة الرأسمالية وتسميتها ديمقراطية متعددة الأحزاب كنهج استعماري آخر يعطي البشر دور التشريع. ولا يزال الرأسماليون، من خلال هذه السياسة الاستعمارية، ينهبون الثروات الأفريقية بما فيها تنزانيا عن طريق عملائهم في الحكومة والذين يتم انتخابهم كل عدة سنوات.

والحقيقة هي أن المشاكل التي تعاني منها تنزانيا بما في ذلك الفقر، وسوء التعليم، وسوء الخدمات الصحية، لن يتم علاجها من قبل حزب تنزانيا الثوري أو حزب تشاديما أو ما شابههما لأن جميع الأطراف لا تستهدف إزالة الأيديولوجية الرأسمالية التي هي سبب كل هذا الكم الهائل من الفوضى. إن الانضمام إلى هذه الأحزاب والمشاركة في الانتخابات للتصويت لصالح السياسيين الذين يطالبون بالأيديولوجية الفاسدة نفسها لن يجلب أي تغيير وإنما بدلا من ذلك يمد شريان حياة الأيديولوجية. والحل هو استبدال مبدأ الإسلام بالمبدأ الرأسمالي، وهذه هي مسؤولية جميع المسلمين ليس فقط في تنزانيا ولكن في العالم بأسره ككل. إن على الجماعات الإسلامية والزعماء الدينيين والعلماء احتضان الدعوة إلى عدل الإسلام جماعيا عن طريق تبنيه كعقيدة شاملة تشمل كل النظم السياسية والاجتماعية والاقتصادية التي شرعها الله سبحانه وتعالى.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

شعبان معلم

الممثل الإعلامي لحزب التحرير في شرق أفريقيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon