يا أهل مصر رغيفكم في مهب الريح فماذا بقي لكم؟!
يا أهل مصر رغيفكم في مهب الريح فماذا بقي لكم؟!

الخبر:   نقل موقع مصراوي الأربعاء 2022/02/16م، قول رئيس الوزراء المصري، إن الحكومة تناقش كافة السيناريوهات المتعلقة بسعر رغيف الخبز، وأضاف مدبولي في مؤتمر اليوم بمقر مجلس الوزراء بالعاصمة الإدارية إن "آخر تحريك لسعر الخبز كان عام 1988 حينما ارتفع لـ5 قروش، حينها كانت تكلفة الرغيف 17 قرشا، النهاردة تكلفته 65 قرشا، يجب أن ننظر لهذا الموضوع، نضع السيناريوهات والاحتمالات، هنتحرك هنتحرك"، وتابع: ...

0:00 0:00
Speed:
February 20, 2022

يا أهل مصر رغيفكم في مهب الريح فماذا بقي لكم؟!

يا أهل مصر رغيفكم في مهب الريح فماذا بقي لكم؟!

الخبر:

نقل موقع مصراوي الأربعاء 2022/02/16م، قول رئيس الوزراء المصري، إن الحكومة تناقش كافة السيناريوهات المتعلقة بسعر رغيف الخبز، وأضاف مدبولي في مؤتمر اليوم بمقر مجلس الوزراء بالعاصمة الإدارية إن "آخر تحريك لسعر الخبز كان عام 1988 حينما ارتفع لـ5 قروش، حينها كانت تكلفة الرغيف 17 قرشا، النهاردة تكلفته 65 قرشا، يجب أن ننظر لهذا الموضوع، نضع السيناريوهات والاحتمالات، هنتحرك هنتحرك"، وتابع: هنشوف الفئات المهمشة ونشوف التأثير عليهم، بأكد هيحصل، لكن نشوف السيناريوهات عشان نطمن على الفئات المهمشة وكيف نضمن عدم تأثرهم بشكل كبير، وأكد مدبولي أنه عند اتخاذ خطوة رفع أسعار الخبز سنضمن عدم تضرر الفئات الأكثر فقرا، متابعاً: "لازم يبقى فيه تحرك طفيف بشكل منتظم، عشان منجيش بعد 30 سنة نلاقي الدنيا خربت، بنتحرك بهذا الشكل ونضع السيناريوهات ونجلس مع خبراء كتير، وبندقق البيانات، أهم حاجة البيانات، أهم حاجة في القرار أيا كان توقيته، نحافظ على هذه الفئات، ندرس الاحتمالات عشان نشوف الفئات دي".

التعليق:

مع كل قرار جديد تقوم به الدولة لرفع أسعار السلع والخدمات يتحدثون عن مراعاة الفئات المهمشة والحفاظ على حقوقها وطمأنتها، ولا ندري كيف تكون المحافظة على حقوق الناس من وجهة نظر النظام، ولا حتى من هي الفئات التي ينظرون إليها على أنها مهمشة في بلد ينفق غالب أهله جل دخلهم لسداد فواتير الدولة من غاز وكهرباء ومياه واتصالات ووقود للسيارات، هذا بخلاف الضرائب التي تقتطع من هذا الدخل أولا، ومثلها ما يضاف على تلك الفواتير سالفة الذكر، بخلاف ما يضاف على قيمة كل سلعة مشتراة أو خدمة مدفوعة الثمن! حتى صارت الدولة تحصل الضريبة على كل معاملة مالية يقوم بها الناس، وأصبح معدل ما يقتطع من قوت الناس كضرائب حوالي 75% من إجمالي دخل الدولة حسب ما نشرته العربية على موقعها في 2021/06/08م، كلها تقتطع في النهاية من أقوات الناس، وقطعا تلتهم مدخراتهم، هذا بخلاف القرارات الكارثية الأخرى التي تصدر من النظام والتي من شأنها زيادة معدل التضخم وغلاء الأسعار، الأمر الذي يضع الكثير والكثير من أهل مصر تحت خط الفقر ويجعلهم داخل إطار الفئات المهمشة فعلا وليس كما يرى النظام الذي ينظر إلى القادر على الزواج أنه لا يستحق الدعم، وكأنه يجب على شبابنا العزوف عن الزواج! وليته كان دعما حقيقيا بل فتات الفتات!

النظام المصري قرر رفع الدعم كاملا تنفيذا لقرارات البنك الدولي، ولهذا فقد قرر تحريك سعر الرغيف مسبقا وهو ما أعلنه الرئيس المصري من قبل. والمشكلة التي تواجه النظام أن هذا الرغيف هو آخر ما تبقى للناس وزيادة سعره ستكون ضربة قوية لهم وخاصة الفئات الأكثر فقرا، فأهل مصر جلهم قد أفقرتهم أنظمة الحكم الرأسمالية المتعاقبة، ولهذا فمشكلة النظام ليست في قرار تحريك سعر الرغيف ولكن في توقيت وضعه موضع التنفيذ والبدء في تطبيقه على الناس وما قد يؤدي إليه خاصة مع وجود حالة من الغليان المكتوم ربما تكون بداية لانفجار كبير مع أي قرار غير مدروس العواقب، ولهذا فالنظام يتحسس خطاه حتى لا يترك أثرا في قراراته يضع الناس أمام الخيار الوحيد الباقي في جعبتهم وهو الصدام الدامي مع النظام، ولم يعد هناك من يمكن أن يحملهم النظام أوزاره وخطاياه، بينما يخادع الناس بإنجازاته الوهمية ويوهمهم بالحياة الكريمة والجمهورية الجديدة، وكأن الناس لم يشبعوا من جمهوريات الغرب ونظمه البائدة!

إن زيادة سعر الرغيف في حقيقتها ليست مشكلة ولا أزمة إلا في ظل الرأسمالية التي تنهب ثروات الناس وتُلجئهم إلى تقبل ما يُلقى لهم من فتات الموائد، والصراع على رغيف الخبز هو صراع جزئي في عمق الأزمة وإن كان يؤججها، فالرأسمالية هي الأزمة وهي سبب المشكلة وأصل كل داء، والصراع يجب أن يكون معها لاقتلاعها ومنعها ومنع أدواتها من نهب ثروات مصر، ومن نهب مدخرات الناس، بل وتمكين الناس من كامل تلك الثروة وحفظ أموالهم ومدخراتهم عليهم، وحينها لن يحتاج الناس إلى دعم رغيف الخبز الذي يقدم لهم بشكل سيئ، ولا حاجة حينها للتموين وبطاقته التي يمن بها النظام على الناس، فحقوق الناس أكبر بكثير من رغيف خبز مدعم وجنيهات تمنح في شكل سلع تموينية، حقوق الناس في النفط والغاز والذهب وكافة المعادن والثروات الدفينة التي يُمكّن النظام وأدواته الغرب من نهبها بلا ثمن ويبيعها للناس بالأسعار العالمية ويتربح من خلال بيعها بينما هي ثروتهم المنهوبة.

خلاصة القول إن أهل مصر ليسوا في حاجة لدعم الخبز ولا غير الخبز ولا يحتاجون جمهورية جديدة تحسن تطبيق الرأسمالية عليهم فتزيد معاناتهم، وإنما حاجتهم الماسة لاستئناف الحياة الإسلامية من جديد في دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة التي تمنحهم الحياة الكريمة على حقيقتها وليس وهماً خادعا، فتعيد لهم حقوقهم المنهوبة وثرواتهم المسلوبة بعد أن توقف نهب الغرب لها وتعيد توزيع هذه الثروة عليهم جميعا وبشكل عادل؛ لأن هذا مما أوجبه الشرع على الدولة تجاه رعاياها، لا فرق في ذلك بين المسلم وغير المسلم في الحقوق والواجبات، وحينها لن يكون بين أهل مصر جائع ولا فقير واحد.

أيها المخلصون في أرض الكنانة شعبا وجيشا: هذا الحل ولا حل غيره لكل أزماتكم ومشكلاتكم ونحن نضعه بين أيديكم، فمن أراد الخير لمصر وأهلها فلا سبيل أمامه غير هذا وليس عليه إلا أن يضع يده في يد حزب التحرير ليحمل معه مشروع الإسلام ودولته الخلافة الراشدة مشروع الخير لمصر وسبيل عزها وكرامة أهلها في الدنيا والآخرة. اللهم عجل بها واجعل مصر حاضرتها واجعل جند مصر أنصارها، اللهم آمين.

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ اسْتَجِيبُواْ لِلّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُم لِمَا يُحْيِيكُمْ وَاعْلَمُواْ أَنَّ اللّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سعيد فضل

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية مصر

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon