يا أردوغان: بالإمكان فعل شيء ما من أجل غزة وفلسطين، ولكن ليس بالقول بل بالأفعال وذلك من خلال توجيه الجيوش إلى الأقصى!
يا أردوغان: بالإمكان فعل شيء ما من أجل غزة وفلسطين، ولكن ليس بالقول بل بالأفعال وذلك من خلال توجيه الجيوش إلى الأقصى!

الخبر: قال الرئيس التركي رجب طيب أردوغان في اجتماع المجلس التنفيذي المركزي الذي عُقد في مقر حزب العدالة والتنمية: "للأسف، فشلنا في صد الهجمات السياسية وإقناع بعض الدوائر، حتى في قضية مهمة مثل أزمة غزة، والتي بذلنا من أجلها كل ما في وسعنا ودفعنا ثمن موقفنا هذا". (خبر ترك، 2024/04/03)

0:00 0:00
Speed:
April 06, 2024

يا أردوغان: بالإمكان فعل شيء ما من أجل غزة وفلسطين، ولكن ليس بالقول بل بالأفعال وذلك من خلال توجيه الجيوش إلى الأقصى!

يا أردوغان: بالإمكان فعل شيء ما من أجل غزة وفلسطين، ولكن ليس بالقول بل بالأفعال وذلك من خلال توجيه الجيوش إلى الأقصى!

الخبر:

قال الرئيس التركي رجب طيب أردوغان في اجتماع المجلس التنفيذي المركزي الذي عُقد في مقر حزب العدالة والتنمية: "للأسف، فشلنا في صد الهجمات السياسية وإقناع بعض الدوائر، حتى في قضية مهمة مثل أزمة غزة، والتي بذلنا من أجلها كل ما في وسعنا ودفعنا ثمن موقفنا هذا". (خبر ترك، 2024/04/03)

التعليق:

يُفهم من تصريحات أردوغان هذه أنه فشل في خداع الجمهور، لأن الشعب التركي، وخاصة المسلمين منه، يدركون جيدا أن تصريحات أردوغان العلنية التي شبَّه فيها كيان يهود بالنازيين ووصفهم بالجزارين والقتلة، مرتبطة بالانتخابات المحلية. يبدو أن الشعب التركي شطب من حساباته كلا من أردوغان وكيان يهود. والذي زاد الطين بِلة وقبل أن يجف حبر الانتخابات هو أن الصحف اليهودية سربت معلومات مفادها أن تصريحات أردوغان المتعلقة بكيان يهود كانت فقط للاستهلاك المحلي وأنه كان يتحدث عن كيان يهود بدافع تحسين العلاقات معه.

وبحسب ما نشرته صحيفة معاريف، فعلى إثر تشبيه أردوغان رئيس وزراء كيان يهود بنيامين نتنياهو بهتلر وموسوليني، تم استدعاء نائب سفير تركيا لدى الكيان إلى وزارة الخارجية، وخلال اللقاء الذي جرى هناك، قال نائب السفير مخاطبا المدير العام لوزارة الخارجية جاكوب بليتشتاين: "إن موقف أردوغان القاسي تجاه (إسرائيل) ينبع من مخاوفه السياسية بشأن الانتخابات المحلية". (إندي ترك، 2024/04/02م)

وكان أردوغان قد أدلى من قبل بتصريحات مماثلة، لكنه قام عقبها بتحسين علاقاته، وكان على وشك أن يستضيف رئيس وزراء كيان يهود في أنقرة عندما اندلعت أحداث السابع من تشرين الأول/أكتوبر 2023. إنه ليس من المستغرب أن يستضيف أردوغان، الذي لا ينطلق في سلوكه من منطلق مبدئي، في قصر الضيافة شخصاً ينعته بالأمس بالجزار والقاتل ثم يقوم بنعته اليوم بألطف الألفاظ ويثني عليه حسن الثناء.

لأنه وفقا لأردوغان لا يوجد استياء في السياسة، فالاستياء أو النقد يتعلق فقط بالرأي العام، والهدف منه هو خداع الجمهور. لقد شهدنا من قبل مرات عديدة أن أردوغان تصالح مع حكام أمثال السيسي وآل نهيان ووصفهم بالأصدقاء، في حين كان ينتقدهم بشدة في السابق. ولو كان أردوغان صادقا ولو بقدر بسيط في انتقاداته لكيان يهود، لما واصل علاقاته التجارية، ولقطع كل العلاقات الدبلوماسية والتجارية مع هذا الكيان الذي يقتل المسلمين، ولما واصل هذه العلاقات التي ساهمت في دعم الإبادة الجماعية التي يرتكبها كيان يهود عن طريق إرسال المواد الغذائية وغيرها عن طريق السفن.

لهذا السبب قامت الأمة الإسلامية بشطب أردوغان في صناديق الاقتراع لأنهم كانوا يعلمون ويدركون أن الحكام العملاء في بلاد المسلمين، وخاصة أردوغان، لم يفعلوا كل ما في وسعهم ضد الإبادة الجماعية التي ارتكبها كيان يهود في غزة، بل اكتفوا بإدانات قاسية فقط.

ولو بذل أردوغان وغيره من الحكام كل ما في وسعهم لحشدوا جيوشهم القوية التي حبسوها في ثكناتها العسكرية نصرة للمسلمين في غزة وإنقاذ أرض فلسطين المباركة من دنس اليهود، وإنهم على ذلك لقادرون، ولأنسوا كيان يهود وساوس الشيطان. لكن من العار أنهم لم يكتفوا بمشاهدة الإبادة الجماعية فحسب، بل دعموا مرتكبيها اليهود أيضاً من الباب الخلفي. وعلى هذا الأساس فإن أردوغان لم يفعل أي شيء بوسعه كما يدعي، بل فعل كل شيء بلسانه فقط.

ولو أنه فعل أقل ما يستطيعه لأمر الجيوش التركية القوية بالتحرك نحو فلسطين بدلا من العراق وسوريا، ولأنقذ المسجد الأقصى، الذي أسماه خطنا الأحمر، من دنس احتلال وإرهاب الصهاينة القذرين. ولنذهب أبعد من ذلك، كان بإمكانه على الأقل أن يقوم بتعليق العلاقات التجارية والدبلوماسية مع كيان يهود، لكنه أنكر ذلك أمام الشعب الفلسطيني وحرمه منه.

لذلك، لا ينبغي لأردوغان أن يقول إننا بذلنا كل ما في وسعنا لحل أزمة غزة. ولو رأت الأمة أنه بذل كل ما في وسعه، لكان سلوكها مختلفا، ولضمنت حصول حزبه على المركز الأول في صناديق الاقتراع، كما كانت تفعل في الانتخابات السابقة.

باستثناء دولة الخلافة، فإن حكام المسلمين اليوم لم ولن يفعلوا أي شيء من أجل فلسطين والمسلمين، ولم ولن يتمكنوا حتى من رمي حجر على يهود.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أرجان تكين باش

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon