يا حلف الباطل: خاب فألكم وخسر بيعكم فبئس الجمع جمعكم فحلفكم حلف الشيطان ومكركم إلى بوار
يا حلف الباطل: خاب فألكم وخسر بيعكم فبئس الجمع جمعكم فحلفكم حلف الشيطان ومكركم إلى بوار

 ذكرت قناة فرانس 24 الثلاثاء 2015/12/15م، أن السعودية شكلت تحالفا إسلاميا مناهضا للإرهاب من 34 بلدا بينها مصر وباكستان والسنغال،

0:00 0:00
Speed:
December 19, 2015

يا حلف الباطل: خاب فألكم وخسر بيعكم فبئس الجمع جمعكم فحلفكم حلف الشيطان ومكركم إلى بوار

يا حلف الباطل: خاب فألكم وخسر بيعكم فبئس الجمع جمعكم

فحلفكم حلف الشيطان ومكركم إلى بوار

الخبر:

ذكرت قناة فرانس 24 الثلاثاء 2015/12/15م، أن السعودية شكلت تحالفا إسلاميا مناهضا للإرهاب من 34 بلدا بينها مصر وباكستان والسنغال، حسبما أعلنت وكالة الأنباء السعودية الرسمية التي نشرت لائحة بأسماء هذه الدول ولا تضم إيران، وقالت الوكالة إن هذا التحالف الذي سيكون بقيادة السعودية، سيكون له مقر قيادة في الرياض من أجل دعم العمليات العسكرية في الحرب ضد الإرهاب، ويهدف التحالف إلى "تنسيق ودعم العمليات العسكرية لمحاربة الإرهاب ولتطوير البرامج والآليات اللازمة لدعم تلك الجهود"، إضافة إلى "وضع الترتيبات المناسبة للتنسيق مع الدول الصديقة والمحبة للسلام والجهات الدولية في سبيل خدمة المجهود الدولي لمكافحة الإرهاب وحفظ السلام والأمن الدوليين". وقال الأمير محمد بن سلمان ولي العهد السعودي ووزير الدفاع إن التحالف الإسلامي العسكري الجديد سيتصدى لأي منظمة إرهابية وسينسق مع الدول الكبرى والمنظمات الدولية، وقال في مؤتمر صحفي بالعاصمة السعودية الرياض "بلا شك سيكون هناك تنسيق دولي مع جميع المنظمات الدولية ومع الدول المهمة في العالم لهذا العمل."

التعليق:

دائما وأبدا عندما يأمر السيد يتحرك العبيد منفذين مؤتمرين بأمره وهذا عينه ما يقوم به نواطير الغرب في بلادنا الآن، أوباما يطلب وهم يلبون، يأمر وهم يفعلون، يقتلون أبناءهم بأيديهم لإرضاء السيد في البيت الأبيض ونسوا سيد السموات والأرض وملك الملوك، طلب أوباما مؤتمرا فانعقد وطلب حلفا ففعل الخونة والأتباع والأذناب.

وكأني بأوباما يصرخ في أتباعه، من يبايع على حرب الإسلام والمسلمين واستئصال شأفتهم ومنع إقامة خلافتهم؟! فيلبي النداء الخونة العملاء من المنافقين والفجار، في جمع كيدهم ويأتون إليه والذل والصغار بادٍ عليهم حتى إذا اجتمعوا وجمعوا ما جمعوا وانعقد عقدهم سألوه يا سيدنا ومولانا الأكبر أوباما ما لنا إن نحن بايعناك وحالفناك وصرنا حربا لك على الإسلام والمسلمين وقتلنا معك أبناءنا وإخواننا وقدمنا دماءهم وأعراض نسائهم قربانا في معبدك فما لنا إن نحن فعلنا وفعلنا؟! فيجيبهم شيطانهم الأكبر لكم الخزي والهوان والذل ما حييتم وبقيتم، وسنبقى ما بقيت عروشكم نسومكم الخسف والذل وننهب ثرواتكم وثروات بلادكم ما بقيتم لنا خدما مطيعين، وما بقيتم حائلا بين أمتكم وعودة خلافتها، وستدفعون أنتم فاتورة تكاليف الحرب كاملة من خيرات بلادكم حتى نبقي لكم عروشكم الورقية التي لا قيمة لها ولا وزن، فإذا عادت الخلافة للوجود سنسارع بالتخلي عنكم والبراءة منكم وسنسعى جاهدين للتملص من أفعالكم الشنيعة والعودة لحماية عقر دارنا من الخلافة القادمة هذا إن بقي لنا عقر دار حينها.

هؤلاء هم حلفاء الغرب أجراؤه على حكم بلادنا أرذل وأسوأ مَن فينا، لا يرقبون في مؤمن منا إلا ولا ذمة، سلم لأعدائنا حرب علينا وعلى ديننا ومقدساتنا، وكأني بهم اليوم أحزابا كأحزاب الأمس قد جمعوا وألّبوا جحافلهم واستجمعوا كل قوتهم وأتوا إلينا بقضهم وقضيضهم، وكأني بأبي جهل يقود جموع يخطب في جموع الجاهلين، أن اجمعوا من كل بلد إسلامي جنودا وسموا حلفكم حلفا إسلاميا، واخرجوا لقتال هؤلاء الذين أبوا أن يكونوا مطايا لأمريكا وحلفها والذين تمسكوا بالإسلام شرعة ومنهاجا وتواثقوا على إقامة الخلافة على منهاج النبوة ورفعوا راية الإسلام، أبيدوهم واستأصلوا شأفتهم.

لم يجمع الحكام الخونة حلفا كهذا لتحرير الأقصى من دنس يهود ولا لنصرة المستضعفين في بورما ولا مالي وغيرها وإنما نصرة لأوباما وشيطانه الأكبر وحماية لعروشهم التي ستزول بعودة الخلافة على منهاج النبوة قريبا إن شاء الله.

اعلموا أيها المتحالفون على الإسلام والمسلمين أن مكر الله أعلى وأكبر وأن المكر السيئ لا يحيق إلا بأهله والله غالب على أمره وسيتم نوره وينصر جنده ولو كره الكارهون ومكر الماكرون، فمثلهم ومثلكم كمن يطفئ الشمس بفمه، والأمة التي تحاربونها اليوم وتبايعون عليها عدوها وتأتمرون فيها بأمره ستنتصر عليكم لا محالة، فالنصر وعد من الله قد آن أوانه وأظل زمانه، وما تكسرت كل مؤامرات سادتكم على صخرة الشام إلا لذلك، ونصر الأمة يعني أن تنعتق من ربقة الغرب وتقام فيها الخلافة على منهاج النبوة تحاسبكم على جرائمكم في حق الأمة وما ضيعتم وما نهبتم أنتم والغرب من ثرواتها وخيراتها، وما قتلتم وسفكتم من دمائها، ولن ترحمكم على فعلكم الشنيع في حق الأمة، إن موعدكم الصبح أليس الصبح بقريب.

وأنتم يا أبناء الأمة في الجيوش: أما آن لكم أن تخشعوا لذكر الله وما نزل من الحق وتكونوا نصرا لإخوانكم وأهليكم لا حربا عليهم؟! أما آن لكم أن تكونوا في يد الأمة لا في يد عدوها؟! أما آن لكم أن تكونوا حماة للأمة من عدوها لا حماة لعروش الحكام الخونة من غضب الأمة وسخطها؟! أيرضيكم ما ترون من حال أمتكم؟ هل ماتت فيكم نخوة الرجال؟! إنها أمتكم التي تحارَب ويُكاد لها ليل نهار، وأموالكم التي تنهب وأعراضكم التي تغتصب أمام أعينكم وأنتم في صمت كالقبور، أليس فيكم وبينكم رجل رشيد يسعى لجنة عرضها السماوات والأرض؟! ينصر الإسلام والمسلمين وينعتق من تبعيته وولائه لحكام خانوا الله ورسوله ويعيد ولاءه لله ورسوله ويسلم الحكم للمخلصين القادرين على تطبيق الإسلام من فورهم فيكون كسعد وأسعد وأسيد ويكون سيد أنصار زماننا؟! أين أنتم يا أهل النخوة والمروءة وطلاب الجنة وما فيها من نعيم مقيم؟! الجنة تطلبكم وثمنها في أيديكم فمن يدفع ثمنها ويأخذها بحقها؟!

أما أنتم يا أبناء الأمة، فلا يرهبنكم جمعهم فالله أعلى وأجل والله وعدكم بالنصر والتمكين وحسبكم إحدى الحسنيين والله وليكم ولن يتركم أعمالكم، فلا يزدكم هذا الجمع إلا إيمانا وتسليما؛ فإنما هو ابتلاء يضاف إلى ميزان حسناتكم ويمحصكم الله به ويميز به صفوفكم فيخرج الخبيث من بينكم فتبقى صفوفكم بيضاء نقية، تستحق ما سيتنزل عليها من بركات الله بالنصر والتمكين إن شاء الله، فلا تحسبوه شرا لكم بل هو خير لكم، فاصبروا وصابروا ورابطوا واتقوا الله لعلكم تفلحون، واعلموا أن النصر صبر ساعة وليكن لكم فيما سبق لنبيكم eعظة وعبرة، فإن تكونوا تألمون فأعداؤكم يألمون كما تألمون، لكنكم ترجون من الله ما لا يرجون، وحسبكم أن الجنة تناديكم مع طلقات رصاصهم وتأتيكم راغبة مع قنابلهم وقذائفهم فطوبى لكم يا أهل طوبى، تقبل الله منكم وأربح بيعكم.

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ اسْتَجِيبُواْ لِلّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُم لِمَا يُحْيِيكُمْ وَاعْلَمُواْ أَنَّ اللّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عبد الله عبد الرحمن

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية مصر

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon