يداك أوكتا وفوك نفخ
يداك أوكتا وفوك نفخ

أحالت حكومة الأردن برئاسة الدكتور هاني الملقي مشروع قانون الموازنة العامة لسنة 2018 إلى مجلس النواب الأردني بتاريخ 2017/11/20 وقد قدرت الحكومة العجز بالميزانية حوالي 540 مليون دينار أردني كما بلغت المنح الخارجية المتوقعة للأردن حوالي 770 مليون دينار.

0:00 0:00
Speed:
November 23, 2017

يداك أوكتا وفوك نفخ

يداك أوكتا وفوك نفخ

الخبر:

أحالت حكومة الأردن برئاسة الدكتور هاني الملقي مشروع قانون الموازنة العامة لسنة 2018 إلى مجلس النواب الأردني بتاريخ 2017/11/20 وقد قدرت الحكومة العجز بالميزانية حوالي 540 مليون دينار أردني كما بلغت المنح الخارجية المتوقعة للأردن حوالي 770 مليون دينار.

التعليق:

إن غالبية الإيرادات المعتبرة لميزانية الدولة هي ضرائب متنوعة يضاف لها منح خارجية من الدول الاستعمارية المانحة حيث بلغت هذه المنح أكثر من 8% من الإيرادات. ولا شك أن هذه المنح هي أدوات ضغط وابتزاز لضمان استمرار تنفيذ الأردن للسياسات الدولية المتعلقة بالقضايا المحلية والإقليمية، خاصة تلك المتعلقة بمحاربة الإسلام والتي تسمى زورا وبهتانا محاربة (التطرف والإرهاب). وهذه وإن كانت طامة بحد ذاتها إلا أن الضرائب التي تجبى من الناس هي أشد وأمر وأدهى.

فالدولة تجمع من الرعية ما يقرب من 8 مليار دينار أردني بصيغة ضرائب ورسوم لا يكاد يحصيها ويعرف تفاصيلها غير ثلة من الحكومة وممثلي البنك الدولي. ولا تزال الحكومة تناور لتحصيل العجز الذي بلغ حوالي 540 مليون دينار من خلال فرض ضرائب إضافية ورفع ما يدعونه زورا وظلما بأنه دعم لبعض المواد الغذائية كالقمح والطحين الذي يأتي أغلبه على شكل منح وقروض من أمريكا وغيرها.

وتتفاعل في الأردن أصوات كثيرة حول موضوع الضرائب وزيادتها ورفع الدعم عن الطحين والخبز، فيما تتحرك كتل نيابية لمحاولة رفض مشروع الموازنة إلا إذا عدلت الحكومة عن رفع الضرائب زيادة على ما هي عليه الآن.

والحقيقة أن الضجة والصخب حول الضرائب وارتفاعها والنزاع الحاصل بين الحكومة وبعض النواب وبين الحكومة وبين بعض السياسيين، هو صخب ونزاع لا طائل منه ولا مبرر له. فما دام قد تقرر مبدأ فرض الضرائب والقبول بأن إيرادات الحكومة الرئيسة هي ضرائب، فالنقاش والصخب على مقدار هذه الضرائب أصبح لغوا لا طائل منه. فالدولة في ظل النظام الرأسمالي ليست لها ملكية، حتى ولو ملكت موارد مالية لأي سبب، فإنها لا تتوانى عن التخلي عن ملكيتها لأنها ليست أصيلة بل طارئة. وحكومة الأردن قد تخلت عن كثير مما تملك من مؤسسات بعد أن باعتها للقطاع الخاص، من باب أنها دولة رأسمالية لا ينبغي لها أن تكون مالكة لمؤسسات إنتاجية. وقد حصل هذا على أعين الناس الذين يصرخون في وجهها ووجه ضرائبها.

فالدولة في النظام الرأسمالي ليس لها مال مملوك لها. بل إن ما تحصل عليه من مال هو من الناس الذين يدفعون من مالهم للدولة لتقوم هي برعاية شؤونهم بأموالهم. وهذا هو عين النظام الرأسمالي. فحين يتهرب أناس من الضريبة ولا يريدون أن يدفعوا للدولة فهم يخالفون (العقد الاجتماعي) الذي تقوم عليه الدولة الرأسمالية. وحين يصيحون في وجه الحكومة لم تفرض زيادة في الضرائب، فهم يخالفون المبدأ الذي تقوم عليه الدولة. فمن كانت له مشكلة مع كمية الضرائب وكثرتها فلينظر إلى النفقات المطلوبة من الدولة كالتعليم والصحة والدفاع والمواصلات البرية والبحرية والجوية وغيرها. فإن كانت هناك حاجة للإنفاق فليدفع من ماله دون أن يرفع صوته وينادي بعدم الرفع.

ومن كانت له مشكلة مع فرض الضرائب مطلقا فلينظر إلى (العقد الاجتماعي) الذي بموجبه تنشأ وتستمر الدول العلمانية الرأسمالية. فهذا العقد هو الذي يبيح للدولة أن تفرض الضرائب وتمول مشاريعها. فمن كانت له مشكلة مع نظام الضرائب من حيث هو، فليعلن مشكلته صراحة مع النظام العلماني الرأسمالي الذي بموجبه تفرض الضرائب. أما أن يقبل الناس بمبدأ الجلد مثلا ثم يحتجون على السوط الذي يستعمل بالجلد أو على شخص الجلاد فهذا أقل ما يقال عنه إنه حمق.

من هنا فإن الأصل أن ينظر إلى الدولة والأساس الذي بنيت عليه. فإن كان مقبولا أن تكون مبنية على أسس رأسمالية علمانية تقضي بأن الدولة هي مؤسسة لا تملك مالا فعلى الشعب أن يقبل بما تفرضه هذه الدولة ويخضع لضرائبها ويدفع ولا يتهرب. وإذا أصبح هذا المال المفروض عبئا حقيقيا وتدور حوله الشكوك كيف يؤخذ وكيف يصرف فعلى الشعب أن يبحث عن بديل للدولة ومبدأ آخر تبنى عليه غير المبدأ الرأسمالي. بل إن الأصل أن يبحث الناس منذ البداية إن كان المبدأ الذي تقوم عليه الدولة صالحا أم فاسدا. فإن كان فاسدا فمن الأجدر أن يعمدوا إلى تغييره ليس فقط لأنه يفرض ضرائب في أموالهم بل لأنه فاسد والفاسد سيظهر أثره السيئ بأشكال من الظلم مختلفة تشمل الضرائب، وسوء الرعاية، وفقدان الأمن، ونهب الأموال، وضياع البلدان وغيرها.

والناظر إلى الأساس العلماني الرأسمالي الذي نشأت عنه دول كثيرة ومنها الأردن يجد أنه فاسد من أساسه، ومن الأحكام التي انبثقت عنه، ومن النظم التي تشكلت منه. فنظامه الاقتصادي يجعل المال يتكدس بأيد قليلة، فهو يثري القلة ويفقر الكثرة، ويجعل من صاحب المال الأكثر وصيا على القوانين التي تحافظ على ماله وتتغول في مال الآخرين. ويجعل نظامه السياسي ظالما متحيزا منحازا إلى فئات محددة من الناس، ونظامه الاجتماعي لا يحفظ النفس والنوع من الأذى وهكذا. فهو نظام بائس منذ أن وجد وليس فقط منذ أن فرض الضرائب.

ولذلك كان ينبغي أن يزال هذا المبدأ وكل ما بني عليه لأن ما بني على باطل فهو باطل. وما كان من عند غير الله تجد فيه اختلافا كثيرا، وظلما وهضما للحقوق. لذلك فإننا ندعو كل ذي عقل وبصيرة أن يعمل بجد وإخلاص ليسبتدل بنظام أسس على باطل، نظاما أساسه العدل والقسط وهكذا كان منذ أن خلق الله السماوات والأرض ﴿وَالسَّمَاء رَفَعَهَا وَوَضَعَ الْمِيزَانَ * أَلَّا تَطْغَوْا فِي الْمِيزَانِ * وَأَقِيمُوا الْوَزْنَ بِالْقِسْطِ وَلَا تُخْسِرُوا الْمِيزَانَ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد الجيلاني

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon