يجب أن يكون الإسلام أولاً، ثم الملايو... (مترجم)
يجب أن يكون الإسلام أولاً، ثم الملايو... (مترجم)

الخبر:   في الحفل التاسع والخمسين لأقدم جامعة في البلاد، جامعة مالايا، قام الطالب وونغ يان كي بتنظيم احتجاج داعيا لاستقالة نائب رئيس الجامعة، داتوك عبد الرحيم هاشم. تم تنفيذ هذا الاحتجاج من الطالب الذي يدعي أن نائب رئيس الجامعة فشل في حل مشاكل جامعة مالايا لكنه كان على استعداد للتعبير بتعليقات "عنصرية" في مؤتمر "كرامة الملايو" الذي شاركت جامعة مالايا في تنظيمه. تسبب الاحتجاج الذي يحمل رسالة "هذا في أرض ماليزيا"، في ضجة في المشهد السياسي الماليزي. فقد أكد رئيس الوزراء، الدكتور مهاتير محمد، الذي كان حاضراً في المؤتمر، أن الاجتماع ليس له دوافع سياسية ولكن الكثيرين لا يوافقون على ذلك. منذ حكم حكومة تحالف الأمل، والتي يعتبر فيها حزب العمل الديمقراطي، الذي يهيمن عليه الماليزيون من أصل صيني بأغلبية، فإن الأصوات التي تتردد في العديد من القضايا العرقية تهيمن على السياسة الماليزية. لا يمكن للمراقبين المتحمسين للسياسة الماليزية أن ينكروا الخصومة التي تتردد بين الملايو المسلمين والصينيين الماليزيين اليوم.

0:00 0:00
Speed:
October 29, 2019

يجب أن يكون الإسلام أولاً، ثم الملايو... (مترجم)

يجب أن يكون الإسلام أولاً، ثم الملايو...

(مترجم)

الخبر:

في الحفل التاسع والخمسين لأقدم جامعة في البلاد، جامعة مالايا، قام الطالب وونغ يان كي بتنظيم احتجاج داعيا لاستقالة نائب رئيس الجامعة، داتوك عبد الرحيم هاشم. تم تنفيذ هذا الاحتجاج من الطالب الذي يدعي أن نائب رئيس الجامعة فشل في حل مشاكل جامعة مالايا لكنه كان على استعداد للتعبير بتعليقات "عنصرية" في مؤتمر "كرامة الملايو" الذي شاركت جامعة مالايا في تنظيمه. تسبب الاحتجاج الذي يحمل رسالة "هذا في أرض ماليزيا"، في ضجة في المشهد السياسي الماليزي. فقد أكد رئيس الوزراء، الدكتور مهاتير محمد، الذي كان حاضراً في المؤتمر، أن الاجتماع ليس له دوافع سياسية ولكن الكثيرين لا يوافقون على ذلك. منذ حكم حكومة تحالف الأمل، والتي يعتبر فيها حزب العمل الديمقراطي، الذي يهيمن عليه الماليزيون من أصل صيني بأغلبية، فإن الأصوات التي تتردد في العديد من القضايا العرقية تهيمن على السياسة الماليزية. لا يمكن للمراقبين المتحمسين للسياسة الماليزية أن ينكروا الخصومة التي تتردد بين الملايو المسلمين والصينيين الماليزيين اليوم.

التعليق:

لا يمكن للإنكار السياسي أن يغطي حقيقة أنه منذ وصول تحالف الأمل إلى السلطة، فمن الواضح أن الاستقطاب بين الأعراق، وخاصة بين الملايو المسلمين والصينيين، يتجلى في العديد من الأحداث التي تحمل تلميحات من التوتر العنصري في المجتمع الماليزي. ومع ذلك، التوتر العرقي بين السكان الماليزيين ليس قضية جديدة.

حدث 13 أيار/مايو 1969 هو لحظة مظلمة في تاريخ ماليزيا وهو مظهر واضح لهذا التوتر. تم تنفيذ السياسة الاقتصادية الجديدة، التي تؤيد بشكل واضح الملايو بعد أعمال العنف في 13 أيار/مايو، وتمكنت الحكومة (التي يسيطر عليها حزب المنظمة الوطنية الماليزية المتحدة) من السيطرة على التوتر. منذ ذلك الحين، كلما بدا أن هناك توتراً بين الأعراق، ستلعب الحكومة بطاقة "العقد الاجتماعي"، والتي هي في الأساس مقايضة من خلال المواد 14-18 من الدستور الاتحادي، المتعلقة بمنح الجنسية إلى غير الأصليين من الماليزيين (ولا سيما الماليزيين الصينيين والهنود)، وهذا تم ترحيله إلى المادة 153 عندما تشكلت ماليزيا في 16 أيلول/سبتمبر 1963، والتي تمنح الملايو مكانة خاصة في البلاد. وعندما نجح تحالف الأمل في أخذ السلطة من حزب المنظمة الوطنية الماليزية المتحدة، أصبح الوضع الراهن يواجه تحدياً كبيراً.

الحقيقة أن الملايو هم السكان الأصليون للأرض، والمعروفون رسمياً باسم تاناه ملايو (أرض الملايو). ومن الحقائق أيضاً أن البريطانيين أحضروا الصينيين من الصين القارية والهنود من شبه القارة الهندية إلى مالايا كعمال، وأيضاً بموجب المشورة البريطانية تم الاتفاق على "العقد الاجتماعي". وعندما غادر البريطانيون وورثت ماليزيا النظام الديمقراطي، ورثنا أيضاً العواقب السلبية للنظام الاستعماري. عاش الماليزيون حياة هادئة نسبياً لأجيال عدة بسبب التنازلات بين الأعراق تحت روح "العقد الاجتماعي".

ومع ذلك، يبدو أن الملايو المسلمين ينسون أنه في ظل النظام الديمقراطي، يتمتع غير المسلمين بفرصة متساوية ليصبحوا أسياد الأرض. إن بطاقة "العقد الاجتماعي"، والتي هي في حد ذاتها جهد بريطاني، لا تمسك بالمياه داخل الإطار الديمقراطي. والنتيجة الوحيدة التي يمكن للمرء أن يتوقعها من هذا هي الصراع المستمر. هذا ما قصده المستعمرون، ليس فقط في ماليزيا ولكن أيضاً في جميع بلاد المسلمين التي قاموا باحتلالها؛ عدم استقرار لا نهاية له، براميل موقوتة تنتظر فقط الوقت المناسب للانفجار، وهو أمر كنا نلاحظه في العديد من بلاد المسلمين حتى اليوم.

يجب أن يدرك الملايو المسلمون أن النظام الديمقراطي هو الذي يشكل جوهر المشكلات التي يواجهونها. هناك وجهان لهذه المشكلة. أولاً، الحرية الممنوحة للجميع في إطار الديمقراطية، وثانياً، تمكين القومية التي تؤدي إلى مزيد من الصراع ولا تضع حداً للأزمة. يفهم غير المسلمين أنه طالما أن الديمقراطية هي أساس البلاد، فستتاح لهم دائماً الفرصة للنضال ليصبحوا أسياد الأرض، وهم يقومون بذلك بشكل واضح الآن في هذا البلد.

إنهم يفهمون تماماً أن الملايو المسلمين ليس لديهم حجة ضد مبادئ الحرية والديمقراطية طالما أنهم يختارون الالتزام بجهل بالنظام؛ وهذا شيء يجبرهم على التنازل في كثير من الحالات، عن طيب خاطر أو بدونه. وبينما تعمل القومية، فلن تتحقق الوحدة الحقيقية بين المسلمين أبداً. سيكون الصراع من أجل السلطة مسألة عنصرية على وجه الحصر، وحتى الشخص البسيط في التفكير يمكنه أن يفهم أن هذا لا يستحق أن يكون أساس التنوير، وهو أمر يحتاجه المسلمون والملايو على وجه الخصوص. من المفهوم أن الملايو سوف يجتمعون حول الإسلام باعتباره الأساس الجوهري لنضالهم، لكن جهلهم بدور الإسلام كمبدأ والقضايا العنصرية فيما يتعلق بالإسلام والتنوير، يعيقهم في نضالهم. ما يجب أن يفهمه مسلمو الملايو هو أن الإسلام يجب أن يأتي أولاً في أي قضية يواجهونها في نضالهم. يجب عليهم فقط اتخاذ القرارات والتصرف على أساس الإسلام أولاً، حتى قبل التفكير في كونهم ملايو. خشية، النجاح، بالمعنى الحقيقي هو مجرد وهم.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد – ماليزيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon