يوم استغلال كشمير
يوم استغلال كشمير

  الخبر:دعا رئيس الوزراء عمران خان ورئيس أركان الجيش الجنرال قمر جاويد باجوا، اليوم الخميس، دعا الهند إلى وقف "حصارها العسكري اللاإنساني" المستمر و"قمعها غير المسبوق" في كشمير المحتلة. جاء توبيخهم في وقت كانت فيه البلاد تحتفل بيوم استقلال كشمير (يوم الاستغلال) بمناسبة مرور عامين على تجريد نيودلهي للوادي من حكمه الذاتي الخاص. (الفجر الباكستانية)

0:00 0:00
Speed:
August 12, 2021

يوم استغلال كشمير

يوم استغلال كشمير
(مترجم)


الخبر:


دعا رئيس الوزراء عمران خان ورئيس أركان الجيش الجنرال قمر جاويد باجوا، اليوم الخميس، دعا الهند إلى وقف "حصارها العسكري اللاإنساني" المستمر و"قمعها غير المسبوق" في كشمير المحتلة. جاء توبيخهم في وقت كانت فيه البلاد تحتفل بيوم استقلال كشمير (يوم الاستغلال) بمناسبة مرور عامين على تجريد نيودلهي للوادي من حكمه الذاتي الخاص. (الفجر الباكستانية)

التعليق:


تمت إضافة يوم آخر إلى حصيلة الأيام التي تجب مراعاتها فيما يتعلق بكشمير عندما قام نظام عمران/ باجوا بمراقبة يوم الاستقلال في الخامس من آب/أغسطس 2021، بسبب الحصار العسكري اللاإنساني المستمر للهند في الخامس من آب/أغسطس 2019. ويحدث ذلك في الوقت الذي كان فيه المشركون الهنود يمارسون السياسة السياسية. بالإضافة إلى كشمير الضائعة من الناحية الفسيولوجية، فإن ما تبقى في يد مودي هو مجرد اضطهاد جسدي من خلال أكثر من مليون جندي هندي وما زالوا غير قادرين على تهدئة مسلمي كشمير المضطهدة.


هنا يتجاهل نظام عمران/ باجوا عن عمد بعض النقاط، مثل أنهم يساعدون مودي من خلال التشدق بالكلام فقط، يجب على النظام أن يأخذ في الاعتبار أنه بغض النظر عما إذا كنت قد أوقفت حركة المجاهدين عبر الحدود عن طريق التشديد ووقف كل أنواع الدعم المالي من الأقارب الكشميريين الذين يعيشون في باكستان، لا يمكن للمرء أن يأخذ أي بلد أو أي مكان إذا كان الناس الذين يعيشون هناك لا يرغبون في شبر واحد لقبول الظالم، وثانياً إذا كان نظام عمران/ باجوا يريد حقاً تخليص كشمير من الاضطهاد الهندي، يجب على المرء أن يدرك حقيقة أنه لن يمنح أي ظالم الاستقلال كهدية يجب أن تأخذها بالقوة، والتي في الوقت الحالي يتعمد هذا النظام التضليل بخصوصها، على الرغم من أن لديه القدرة على القيام بذلك كما أخذنا آزاد جامو وكشمير في عام 1948. وثالثاً كإخوة مسلمين، من واجبنا الإسلامي مساعدة إخواننا وأخواتنا المسلمين وإيقاف الظالم بالقوة. وحتى إذا كان هذا النظام يلتزم بما تسمى قرارات الأمم المتحدة، فإن الأمم المتحدة تسمح لك بمساعدة كشمير بكل الطرق ولكن نظراً للأوامر الأمريكية، فقد وظّف النظام الباكستاني قواتنا المسلحة في استخدامها ضد المسلمين المخلصين في باكستان الداعين إلى إعادة الخلافة. وأخيراً وليس آخراً، شاركت الصين أيضاً في المنطقة، لذا فقد زاد اللاعبون الموجودون حولها، لذا إذا كان هذا النظام صادقاً، فإن لديهم خياراً عملياً وافراً للعب مع كشمير وتحريرها بدلاً من ذلك، فإنهم يلتزمون الصمت الإجرامي ويتصرفون كمتفرج عندما يتعلق الأمر بإظهار ردة فعل مناسبة لمودي لمجرد أن الولايات المتحدة تريد ذلك بهذه الطريقة. والقول إن الهنود مضطهِدون، وهم يخلقون الفوضى في باكستان عبر أفغانستان، والقيام بتقديم ملفات لمنظمة الأمم المتحدة لن يساعد القضية لأن الاضطهاد لا يمكن إيقافه إلا بالقوة وليس من خلال الشعارات أو استجداء المساعدة، نحن جميعاً نعرف ما يمكن أن يحصل عليه المتسولون في هذا العالم.


لقد مرّ أكثر من 730 يوماً على الحصار الهندي الوحشي على كشمير، وفي هذه الفترة، وصل قمع المشركين إلى حدوده. لقد استشهد الآلاف من الإخوة والأخوات المسلمين، وانتهكت أعراض الآلاف من أخواتنا، وشهد العالم كله كل هذه الأعمال الوحشية ولكن لا يزال يفضل الظالم، وفي مثل هذا الوقت بدلاً من اتخاذ خطوات عملية لتحرير كشمير، أضاف هذا النظام يوماً آخر إلى الاحتفال، الشعارات والنقاشات والمحادثات لن تفعل شيئاً سوى زيادة القمع الوحشي لنظام مودي. في النموذج الحالي، تناول الهندي طعام الغداء ضد الحرب المنطقية الباكستانية، والحرب السياسية، وحرب الجيل الرابع، والحرب العسكرية، وماذا نفعل رداً على ذلك؟ نحن نخفف حتى من موقفنا الأساسي الطويل الأمد، ولكن في الآونة الأخيرة فرض هذا النظام رواية مفادها أن قضايا مثل كشمير لا يمكن حلها إلا من خلال المحادثات، إنها رواية خاطئة لم يتم حل مثل هذه القضية في التاريخ من خلال المحادثات، فهي بمثابة السيف. هذا يحل المشكلة في نهاية المطاف حتى في أفغانستان، اضطرت الولايات المتحدة إلى إجراء محادثات مع المقاتلين من أجل الحرية عندما خسرت أطول حرب لها في التاريخ على يد مجاهدين مخلصين.


لا يستطيع النظام الحالي فعل أي شيء ضد المشركين لأنهم قيدوا أيدينا عمداً من خلال المشاركة في برنامج صندوق النقد الدولي والبنك الدولي والضغط الوهمي على الأمة من أجل مجموعة العمل المالي لتحقيق مكاسب دنيوية. لا يمكن تحرير كشمير إلا من خلال الجهاد بقيادة قواتنا المسلحة القوية التي تتأهب لضرب رأس المشركين. فقط تحت حكم الخلافة سوف تسير قواتنا المسلحة في سريناجار وتحرر كشمير بإرادة الله سبحانه وتعالى.


في الوقت الذي يكون فيه الظلم فساداً مطلقاً والضحايا لا يستطيعون فعل أي شيء ويكونون عاجزين جداً، يأتي النصر من الله سبحانه وتعالى، لم يحدث أبداً انتصار كبير قد أحدث تغييراً كبيراً بدون هذه اللحظة حيث يشعر الظالم أنه إله، ويمكنه أن يفعل كل شيء، والفقراء يقولون لا أحد هنا ليساعدنا، فقراء لا يستطيعون فعل أي شيء ولكن فقط يرفعون أيديهم "يا الله" سيأتي النصر في هذه اللحظة، فيا إخوتي وأخواتي الأعزاء حان وقتكم، وهذا هو وقت رفع مستوانا والعمل بجد أكثر من أي وقت مضى لإعادة الخلافة على منهاج النبوة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
محمد عادل

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon