زيارة العمل المرتقبة بين السيد بومبيو والعبد جاويش أوغلو
زيارة العمل المرتقبة بين السيد بومبيو والعبد جاويش أوغلو

الخبر:   بينما تستمر المشاكل في التفاقم بين الحليفين في الناتو والشريكين التجاريين على المستوى الاقتصادي وغيرها سيجري وزير الخارجية مولود جاويش أوغلو محادثات يوم الاثنين القادم مع وزير الخارجية الأمريكي مايك بومبيو (صوت أمريكا 2018/06/03)

0:00 0:00
Speed:
June 05, 2018

زيارة العمل المرتقبة بين السيد بومبيو والعبد جاويش أوغلو

زيارة العمل المرتقبة بين السيد بومبيو والعبد جاويش أوغلو

الخبر:

بينما تستمر المشاكل في التفاقم بين الحليفين في الناتو والشريكين التجاريين على المستوى الاقتصادي وغيرها سيجري وزير الخارجية مولود جاويش أوغلو محادثات يوم الاثنين القادم مع وزير الخارجية الأمريكي مايك بومبيو (صوت أمريكا 2018/06/03)

التعليق:

تحدثت وسائل الإعلام عن أن محادثات يوم الاثنين ستدور حول موضوع منبج، كما تم تسريب معلومات عن أن محادثات منبج التي ستجري بين تركيا وأمريكا تتكون من ثلاث مراحل. إلا أن واشنطن رفضت كل ما يجري في الكواليس حول الاتفاقية المذكورة. وفوق ذلك فإن أمريكا ليس اليوم فقط بل دائما كانت ترفض الاتفاقيات مع تركيا المتعلقة بسوريا. ومن تكون تركيا حتى تجري اتفاقية مع أمريكا؟ وهل هي من نفس الوزن والجودة والمعيار حتى تجري اتفاقية؟ إذ إن ثَمّة فرقاً بين أمريكا وتركيا من حيث الوزن والجودة، هذا الفرق يشبه الفرق بين السيد والعبد وبين الدماغ المدبر واليد المنفذة. صحيح أن الدماغ واليد هما عضوان في الجسم إلا أن الدماغ يدبر واليد تنفذ. أي بمعنى أن الدماغ هو آلية التفكير واليد هي عضو للتنفيذ لا غير.

ولما كان الحال كذلك فلماذا يا ترى أُثيرت قضية منبج قبل المحادثات؟ علما أن هذه القضية ليست وليدة اليوم، حيث تمت محاولة في نهاية 2016 لإجراء عملية عسكرية لمنبج. نعم، إن الظروف المحيطة بمنبج آنذاك كانت تسمح بالحديث عن عملية عسكرية، لأن تلك العملية كانت تشكل مبررا مقنعا لعملية درع الفرات وغصن الزيتون اللتين هما من صنع أمريكا وتدبيرها. أما إثارة هذه القضية اليوم فهي ربما للتمهيد من أجل تسليم المنطقة لبشار الأسد. وبموجب التصريح الذي أدلى به قبل أيام فإن الأسد ألمح إلى وجود إمكانية الجلوس على طاولة المفاوضات مع وحدات حماية الشعب، واستمرار الحرب معها في حالة تعذر عقد اتفاقية. بعد هذه التصريحات قامت هيئة تابعة للنظام بزيارة المنطقة لغرض إجراء اتصالات هناك، وما زالت هذه الهيئة موجودة في المنطقة. بغلبة الظن تريد أمريكا من الحديث عن قضية منبج في هذا الوقت بالذات إظهار العصا لوحدات حماية الشعب وحزب الاتحاد الديمقراطي وذلك من خلال تركيا.

من ناحية أخرى فإن إثارة قضية منبج عشية الانتخابات أمر لافت للنظر، إذ بإمكاننا أن نقول إنها عملية إنقاذ لأردوغان من قبل سيدته أمريكا، لأنه يحاصَر من قبل "تحالف الشعب" الذي أنشأه الإنجلير كما أنه يواجه خطر فقدان الأغلبية في البرلمان، هذا إذا أسعفهم الحظ! لأن أردوغان ربما يقع في الحفرة التي حفرها لغيره، يعني قانون تحالف الانتخابات. إذ قد لا تقوى خطة منبج المكونة من ثلاث مراحل على إنقاذ أردوغان، فهذه الخطة لا تعدل ثلات عبارات للتأثير على الرأي العام التركي.

وهنا لا بد من التوقف عند قضية منبج والإشارة إلى خيانة وقعت قبل الاستمرار في الحديث، ألا وهي استغلال قضية منبج للتغطية على نقل السفارة الأمريكية من تل أبيب إلى القدس ومحاولة تضليل وخداع الرأي العام وتنفيسه من خلال استدعاء السفير كلج إلى تركيا وقدومه إلى أنقرة في 05/16 واستغلال هذه القضية كذلك للتغطية على الخيانة. والسؤال الذي يطرح نفسه لماذا تم استدعاء السفير ولماذا عاد من حيث أتى؟ هل قضية القدس تم اختزالها إلى 16 يوما والتي يقولون عنها بأنها مسألة إيمان؟! أردوغان الذي كان يعتبر "حماية الأماكن المقدسة بالنسبة للمسلمين ليست مسألة إمكانية بل مسألة إيمان"، هل هذا كل شي؟!

على أية حال فقد قام جاويش أوغلو بالمشاركة في الاحتفال الذي أقيم في ألمانيا بمناسبة الذكرى الخامسة والعشرين لـ"إبادة سولينكن الجماعية"، بعد ذلك أجرى حوارا متلفزا مع إحدى القنوات الألمانية مما تسبب له بإحراج من قبل ألمانيا وإنجلترا، وربما هذا ما دفعه للذهاب إلى سيدته أمريكا لتقديم الشكوى ضد الدول الأوروبية. كما أنه من المتوقع أن يعبر عن صحة قرار انسحاب أمريكا من الاتفاق النووي الإيراني لغرض معاقبة الدول الأوروبية، وأن يستجدي دونالد ترامب لكي يستثني تركيا من قانونٍ أقر في آذار إذ يفرض نسبة 25% ضريبةً على الدول المنتجة للصلب، ويستثنيها كذلك من الحصار الذي قد يفرض على إيران. لأن تركيا تعتبر أكبر المصدرين للغاز الطبيعي والنفط الإيرانيين، وفي حال تطبيق الحصار على إيران فإنه سيؤدي إلى شل الاقتصاد التركي الذي هو أصلا مشلول. كما أنه من المتوقع أيضا أن يكون أردوغان قد أرسل جاويش أوغلو إلى أمريكا للقاء ترامب الأحمق لجس نبض الإدارة الأمريكية قبل الاستمرار بالأعمال التجارية مع إيران، يُذكر أن أردوغان فهم الدرس بخصوص "بنك الشعب" و"قضية حاكان اتيلَّا".

إنه من غير المتوقع بل لا يجب أن ينتظر المرء اتخاذ قرار إيجابي يعود بالنفع على الإسلام والمسلمين وبالذات على مسلمي سوريا والشعب التركي. فلا منقذ ولا معين للمسلمين إلا مبدؤهم.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

إرجان تكين باش

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon