Pamoja na Qur'ani Tukufu - Sura Âli 'Imran
Pamoja na Qur'ani Tukufu - Sura Âli 'Imran
Pamoja na Qur'ani Tukufu - Sura Âli 'Imran
5- Tunawasalimu nyote wapenzi wasikilizaji kila mahali katika kipindi kipya cha programu yenu ya Pamoja na Hadithi Tukufu na tunaanza na salamu bora kabisa, Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh,
Kutoka kwa maneno na majibu ya Amiri wa Hizb ut Tahrir Alimu Mkuu Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah
Habari:
Habari:
Habari:
Vichwa vya habari:
Msururu wa Vipindi - Jinsi Ukhalifa Ulivyobomolewa - Sehemu ya 5
Ama mamlaka ya kisiasa, dola ni taasisi tendaji ya hukumu kwa yale ambayo Mwenyezi Mungu ameyateremsha, na hukumu, mamlaka, na ufalme maana yake ni utekelezaji wa hukumu na uwezo wa mfalme, na jambo la kwanza ambalo dola ya Kiislamu inalifanya ni: mamlaka, na inaweza kuchambuliwa katika masuala sita: 1) Njia ya kuibuka kwa dola, 2) Njia ya kuchukua mamlaka, 3) Asili ya mamlaka, 4) Mamlaka ya mamlaka, 5) Wajibu wa mamlaka. 6) Msimamo wa raia wakati mamlaka inapokiuka yaliyotangulia.