Sabah News: Hizb ut-Tahrir Jimbo la Sudan: Kufanya Ujasusi na Nchi za Nje, Kubeba Silaha, na Kukiuka Uadilifu ndiyo Njia Rahisi ya Kuwa Waziri na Kutawala
Msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir - Jimbo la Sudan - Ibrahim Othman Abukhalil alisema kuwa njia rahisi ya kuwa waziri na kuchukua hisa katika utawala ni kufanya ujasusi na nchi za nje, kubeba silaha, na kukiuka uadilifu wa wasio na hatia, bali imekuwa ni jambo la kawaida linalozingatiwa ambalo halipati dharau yoyote, bali hata viongozi wa jamii kutoka kwa wasomi, wanahabari na wanasiasa, huweka huduma zao chini ya miguu ya mawakala wanaofanya ujasusi na nchi za nje. Abukhalil alisema katika mkutano na waandishi wa habari uliopewa kichwa