Pamoja na Quran Tukufu - Sura Al-A'raf
Pamoja na Quran Tukufu - Sura Al-A'raf
Pamoja na Quran Tukufu - Sura Al-A'raf
Karibuni wasikilizaji wetu wapendwa, wasikilizaji wa Radio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir. Tunakutana nanyi tena na kipindi chetu cha Hadithi Tukufu, na bora tunaloanza nalo kipindi chetu ni salamu ya Kiislamu, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh.
Habari:
Habari:
Habari:
Alhamdulillahi Rabbil 'alamin, na swala na salamu zimwendee imamu wa wachamungu, na bwana wa mitume, aliyetumwa kuwa rehema kwa walimwengu, Bwana wetu Muhammad na ahli zake na masahaba zake wote, na tujaalie kuwa pamoja nao, na utukusanye katika kundi lao kwa rehema yako, Ee Mwingi wa rehema kuliko wote wenye kurehemu.
Kwamba miongoni mwa vyombo vya dola ya Khilafa ni wasaidizi, nao ni mawaziri ambao huwekwa na Khalifa pamoja naye, ili wamsaidie katika kubeba mizigo ya Khilafa, na kutekeleza majukumu yake, kwa sababu wingi wa mizigo ya Khilafa hasa inapokuwa kubwa na dola ya Khilafa inapanuka, Khalifa anakuwa mzito kuibeba peke yake, hivyo anahitaji mtu wa kumsaidia katika kuibeba na kutekeleza majukumu yake,
Alisema Al-Hasan Al-Basri, Mwenyezi Mungu amrehemu: Amesema Umar bin Al-Khattab, Mwenyezi Mungu amridhie: Changanyikeni na jitengeni
Mnamo tarehe 26 Oktoba 2025, mji wa Al-Fashir, huko Darfur, uligeuka kuwa eneo la uhalifu wazi, jambo ambalo lilitokea mara tu kikosi cha wanajeshi kilichokuwepo mjini kilipoondoka, na vikosi vya msaada wa haraka kuingia, na ndani ya muda mfupi, matukio yaliyokuwa yakitoka mjini yaliishtua dunia, kutokana na yale ambayo yalirekodiwa ya mauaji ya halaiki, mateso na udhalilishaji wa wahanga, katika
Tangu nchi nne; ambazo pamoja na Marekani, zinajumuisha Saudi Arabia, Misri na Falme za Kiarabu, zilipotangaza taarifa yao mnamo 12/9/2025 kuhusu mzozo wa Sudan, watu wengi nchini Sudan wamegawanyika katika makundi mawili; kundi linalounga mkono taarifa ya nchi nne inayotoa wito wa mazungumzo na suluhu ya kisiasa, kwa madai kwamba inaleta amani, na kundi lingine linasema linakataa yaliyomo kwenye taarifa ya nchi nne, na linadai kuendelezwa kwa vita. Licha ya ukweli kwamba pande zote mbili ni Waislamu, hawajafanya Uislamu kuwa msingi wa kuanzia kutambua misimamo yao,