Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Iran... Ng'ombe Mweusi Anayesubiri Kuchinjwa Baada ya Kuona Weupe na Wekundu Wakichinjwa

Iran... Ng'ombe Mweusi Anayesubiri Kuchinjwa Baada ya Kuona Weupe na Wekundu Wakichinjwa

Dola ya Iran imechukua hatua za haraka na kutumia uwezo wake wote, ikitumia uchumi wake, majeshi yake, walinzi wake wa mapinduzi, kikosi cha Quds na chama chake huko Lebanon, kwa zaidi ya miaka kumi na minne, kuokoa mteja wa Amerika, Bashar al-Assad na utawala wake, kutoka kuanguka chini ya miguu ya mapinduzi yaliyobarikiwa ya Syria. Lakini haijawahi kufikiria kujenga ngome za kijeshi ambazo ingeweka makombora au kupeleka ndege kuzuia chombo cha Kiyahudi wakati wowote inapohitajika kuadhibiwa! Hii inaonyesha tu kwamba Iran ni taifa lililofeli, lisilo na maono ya kisiasa au kimkakati, au mawazo ya kuzuia, au hata kulinda yenyewe au maslahi yake katika kanda.

Hakuna kitakacho zuia kuenea kwa wanamgambo na majeshi sambamba isipokuwa Ukhalifa ulioongoka kwa njia ya Utume

Hakuna kitakacho zuia kuenea kwa wanamgambo na majeshi sambamba isipokuwa Ukhalifa ulioongoka kwa njia ya Utume

Kongamano la Tamantai lilitangaza muungano wa kijeshi unaoitwa Vikosi vya Pamoja vya harakati za mashariki mwa Sudan, ambao unajumuisha vikosi vya Kongamano la Beja Unified Leadership linaloongozwa na Muhammad Tahir, vikosi vya Orta Mashariki vinavyoongozwa na Kamanda Al-Amin Daoud, upinzani wa wananchi, na uhamasishaji unaoongozwa na Nadir Turk. Tangazo hili linakuja huku kukiwa na vita ambavyo visingekuwepo bila kuwepo kwa jeshi sambamba na jeshi la dola; Vikosi vya Msaada wa Haraka, vita hivi ambavyo vimeangamiza kila kitu, kuharibu miundombinu, kuwahamisha watu, kukiuka heshima,

287 / 10603