Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Wakala wa Habari: Hizb ut-Tahrir: Hakitaacha kuenea kwa wanamgambo na majeshi sambamba isipokuwa Ukhalifa Rashidah kwa njia ya Utume

Wakala wa Habari: Hizb ut-Tahrir: Hakitaacha kuenea kwa wanamgambo na majeshi sambamba isipokuwa Ukhalifa Rashidah kwa njia ya Utume

Kongamano la Tementai limetangaza muungano wa kijeshi unaoitwa Kikosi cha Pamoja cha harakati za mashariki mwa Sudan, ambacho kinajumuisha vikosi vya Kongamano la Beja, Uongozi Mkuu, unaoongozwa na Muhammad Tahir, vikosi vya Orta ya Mashariki, vinavyoongozwa na Kamanda Al-Amin Daoud, na Upinzani wa Watu, na Wanahamasishaji, wakiongozwa na Al-Nadhir Turk. Tangazo hili linakuja katika mazingira ya vita ambavyo visingekuwepo bila kuwepo kwa jeshi sambamba na jeshi la serikali; Vikosi vya Msaada wa Haraka, vita hivi ambavyo vimeharibu kila kitu,

Uzembe wa Mfumo wa Misri kwa Gaza: Kuanzia Kuzuia Msaada Hata Kwa Neno Hadi Kushirikiana na Mzingiro!

Uzembe wa Mfumo wa Misri kwa Gaza: Kuanzia Kuzuia Msaada Hata Kwa Neno Hadi Kushirikiana na Mzingiro!

Katika hali inayojirudia, na kila janga linapowakumba watu wa Gaza waliozingirwa, mifumo ya Kiarabu - na hasa mfumo wa Misri - inathibitisha kwamba haipo tu katika wajibu wa kutoa msaada, lakini inahudhuria katika nafasi ya njama na uzembe, na hata ushiriki halisi katika mzingiro, kwa kulinda vivuko na kuzuia mpango wowote wa ishara au wa wananchi kuelekea kuwasaidia wanyonge kutoka kwa Waislamu.

Ofisi ya NATO Nchini Jordan Ni Kukubali na Kuweka Nchi Rehani kwa Maslahi ya Kikoloni ya Maadui wa Umma

Ofisi ya NATO Nchini Jordan Ni Kukubali na Kuweka Nchi Rehani kwa Maslahi ya Kikoloni ya Maadui wa Umma

Jordan na Jumuiya ya Kijeshi ya Nchi za Atlantiki ya Kaskazini (NATO), walitia saini makubaliano ya kuandaa ofisi ya mawasiliano ya kidiplomasia ya muungano huo katika mji mkuu Amman siku ya Alhamisi, 2025/06/12, kwa upande wa Jordan ilisainiwa na Balozi aliyeteuliwa katika NATO Youssef Al-Bataineh, na kwa upande wa muungano huo ilisainiwa na Mwakilishi Maalum wa Jirani ya Kusini Javier Colomina, ambaye alisifu uhusiano bora na Jordan, akithamini ukaribishaji wa Jordan kwa ofisi na jukumu muhimu la Jordan katika eneo hilo, kama mshirika anayeaminika wa muungano huo katika nyanja mbalimbali.

286 / 10603