Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Kongamano la "Amani ya Kiraia" huko Damascus ni utangulizi wa kuwaondolea hatia vibaraka wa mfumo uliopita na kuanzisha uhusiano wa kawaida na nembo za ukandamizaji na uhalifu

Kongamano la "Amani ya Kiraia" huko Damascus ni utangulizi wa kuwaondolea hatia vibaraka wa mfumo uliopita na kuanzisha uhusiano wa kawaida na nembo za ukandamizaji na uhalifu

Kongamano la wanahabari lililoandaliwa na "Kamati ya Amani ya Kiraia" katika jengo la Wizara ya Habari huko Damascus, siku ya Jumanne, Juni 10, 2025, likisimamiwa na mwanachama wa kamati hiyo, Hassan Soufan, lilizua wimbi kubwa la hasira na ghadhabu kubwa miongoni mwa Wasiria, haswa kati ya familia za mashahidi, waliopotea, na watoto wa mapinduzi, kwa sababu ya msimamo wake ambao wengi waliona kama uchochezi kwa familia za wahasiriwa, dharau ya sadaka za waasi, na dharau ya damu ya mashahidi wao, na kupuuza ukweli dhahiri na ukweli wa wazi,

292 / 10603