Syria Kati ya Tatizo la Mapinduzi ya Ndani na Uvamizi wa Wayahudi
Kundi la Madruze lilihamasika huko Suwayda kukabiliana na serikali ya Syria iliyoanzishwa baada ya kutoroka kwa Bashar al-Assad na kuingia kwa waasi Damasko. Wakati huo huo, taasisi ya Kiyahudi ilizindua mashambulizi makali dhidi ya Damasko katika jaribio la kusaidia harakati za kimadhehebu huko Suwayda.