Rada: #Jibu_Swali: #Sudan Baada ya Utawala wa Kikosi cha Msaada wa Haraka kwenye #Fasher
#Swali: (Musaad Bulus, mshauri mkuu wa Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu masuala ya Mashariki ya Kati, alithibitisha kuwa Jeshi la Sudan na Kikosi cha Msaada wa Haraka walikubaliana juu ya usitishaji mapigano wa miezi mitatu, kulingana na mpango wa Kundi la Nne linalojumuisha Falme za Kiarabu, Marekani, Saudi Arabia na Misri, uliotangazwa mnamo Septemba 12 iliyopita... Sky News Arabia, 3/11/2025), na makubaliano haya juu ya mpango wa Marekani