Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Maporomoko ya Damu Sudan na Kilio cha Al-Fashir Kilichosahaulika!

Maporomoko ya Damu Sudan na Kilio cha Al-Fashir Kilichosahaulika!

Sudan leo inaishi mojawapo ya hatua zake za umwagaji damu zaidi katika historia yake ya kisasa; miji inaharibiwa, vijiji vinachomwa moto, na roho zinatoweka bila hesabu, huku Waislamu wakisimama kimya mbele ya maporomoko ya damu ambayo hayasimami, kana kwamba damu ya Waislamu - kutoka Sudan hadi Gaza iliyoathirika - haina thamani ya kutajwa, wakati ulimwengu unasimama na hauketi kwa kupoteza mabaki ya askari Myahudi ambaye hayakupatikana kutoka chini ya vifusi!

Gazeti la Ar-Raya: Mkataba wa Amani wa Kimarekani Wenye Mtego kati ya Morocco na Algeria, Kichocheo cha Trump cha Kuchochea Ukoloni wake!

Gazeti la Ar-Raya: Mkataba wa Amani wa Kimarekani Wenye Mtego kati ya Morocco na Algeria, Kichocheo cha Trump cha Kuchochea Ukoloni wake!

Steve Witkoff, mjumbe wa Rais wa Marekani Donald Trump katika Mashariki ya Kati, alitangaza kwamba timu yake inafanya kazi ya kukamilisha mkataba wa amani kati ya Algeria na Morocco katika kipindi kijacho. Hii ilikuja katika mahojiano ya televisheni yeye na Jared Kushner waliyoyafanya, Jumapili jioni, katika kipindi cha "Dakika 60" kwenye kituo cha CBS cha Marekani. Witkoff alisema: "Timu yetu inafanya kazi sasa kuhusu Morocco na Algeria, na ninatarajia kufikia mkataba wa amani ndani ya siku 60."

20 / 10603