Abu Wadhaha News: Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Jimbo la Sudan katika Taarifa Moto na za Ujasiri kuhusu Hali ya Kisiasa ya Sasa
Mahojiano na Ibrahim Othman Abu Khalil, msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Sudan. Hizb ut-Tahrir Jimbo la Sudan ni moja ya vyama vya siasa vyenye shughuli nyingi hata wakati wa vita, kwani inafuatilia vizuri matukio na ina maono ambayo haifichi, watu wanakubaliana nayo au hawakubaliani nayo, na wakati kazi ilipokwama huko Khartoum kwa sababu ya vita, chama kilihamia Port Sudan, mji mkuu wa utawala, na kukodisha ofisi ambamo iliendelea na shughuli zake.. Al-Nile International ilikuwa na mahojiano haya na Profesa Ibrahim Othman Abu Khalil, msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Sudan, kwa rekodi za mazungumzo