Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Bangladesh Waandaa Maandamano na Mikesha Kupinga Uhamishaji wa Waislamu kwa Nguvu na India kwenda Bangladesh Chini ya Tishio la Silaha

Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Bangladesh Waandaa Maandamano na Mikesha Kupinga Uhamishaji wa Waislamu kwa Nguvu na India kwenda Bangladesh Chini ya Tishio la Silaha

Hizb ut-Tahrir / Wilaya ya Bangladesh leo Ijumaa, Julai 4, 2025, baada ya swala ya Ijumaa, iliandaa maandamano na mikesha katika misikiti kadhaa huko Dhaka na Chittagong, kukataa na kulaani uhamishaji wa Waislamu kwa nguvu na India kwenda Bangladesh chini ya tishio la silaha. Idadi ya vijana wa chama walitoa hotuba wakati wa mikesha hii, ikifuatiwa na maandamano ya umma.

243 / 10603