Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Jarida la Ar-Raya: Usagaji upya wa mfumo wa kilimwengu na taasisi zake tena nchini Syria

Jarida la Ar-Raya: Usagaji upya wa mfumo wa kilimwengu na taasisi zake tena nchini Syria

Rais wa Syria wa kipindi cha mpito Ahmad Al-Share' ameamuru agizo nambari 66 la mwaka 2025 linaloamua kuundwa kwa kamati kuu ya uchaguzi wa bunge, ambapo uamuzi huo ulijumuisha vifungu vinne, ikiwa ni pamoja na kuunda kamati kwa jina la Kamati Kuu ya Uchaguzi wa Bunge yenye wajumbe kumi na rais, na kamati hii inasimamia uundwaji wa tume ndogo za uchaguzi ambazo huchagua theluthi mbili ya wajumbe, na rais huteua theluthi moja ya wajumbe waliosalia, pia idadi ya wajumbe hufikia wajumbe 150 waliogawanywa katika mikoa yote.

Jarida la Al-Raya: Je, Dola Inabaki kuwa Dola Ikiwa Utawala wake Unakiukwa na Usalama wake Unavunjwa?!

Jarida la Al-Raya: Je, Dola Inabaki kuwa Dola Ikiwa Utawala wake Unakiukwa na Usalama wake Unavunjwa?!

Serikali ya Sudan imerudia kukaribisha kwake msaada wa kibinadamu, lakini imesisitiza wakati huo huo kuwa haitasita na ukiukwaji wowote unaoathiri usalama wa jamii au unatumika kisiasa chini ya kivuli cha kazi ya kibinadamu, na Makamu wa Rais wa Baraza la Utawala Malik Agar alihimiza wakati wa mkutano wake na ujumbe wa shirika la Ufaransa la Promediation, likiongozwa na Eric Blancho, Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, akihudhuriwa na Dk. Vincent Darac, Mkurugenzi wa Mkoa, juu ya umuhimu wa shirika hilo kuzingatia suala la maridhiano ya jamii ili liwe mstari wa mbele katika ajenda yake ya kazi nchini Sudan. (Watan Al-I'lamiya, 2025/6/16)

247 / 10603