Jimbo la Jordan Msiba wa Mbeba Da'wa Ustadh Yusuf Dhiab Al-Shalabi (Abu Dhiya)
Imani yetu katika hukumu ya Mwenyezi Mungu na kwa kutarajia malipo, Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir/Jimbo la Jordan inamtangazia msiba wa mbeba da'wa katika safu zake: Ustadh Yusuf Dhiab Al-Shalabi (Abu Dhiya), ambaye amehamia katika rehema za Mwenyezi Mungu siku ya Alhamisi, Mosi Muharram 1447 Hijria, sawa na 2025/06/26 Miladia, akiwa na umri wa miaka themanini na tisa, baada ya ugonjwa mrefu ambao amehesabu thawabu zake kwa Mwenyezi Mungu.