Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Vito vya Thamarati - Ikiwa Mwenyezi Mungu atakunusuruni, basi hakuna atakayewashinda

Vito vya Thamarati - Ikiwa Mwenyezi Mungu atakunusuruni, basi hakuna atakayewashinda

Enyi majeshi katika nchi za Kiislamu: Hakika historia daima hujirudia, na nyinyi mtakapouhami Uislamu kwa kumtii Mwenyezi Mungu Subhaanahu wa Ta'ala, mtapata nusra ya Mwenyezi Mungu kwenu, kama alivyowanusuru Subhaanahu wa Ta'ala viongozi wa kijeshi Waislamu waliowatangulia, wakawashinda maadui zao licha ya matatizo waliyokuwa wakikabiliana nayo (kama vile kiongozi Khalid bin Al-Walid, Salahuddin, na Muhammad bin Al-Qasim...)

281 / 10603