Vito vya Thamani
Hii ni sahifa yako, basi ijazeni utakavyo
Mtu mmoja alimtusi mmoja wa watu wema.
Yule mtu mwema akamgeukia na kusema:
Hii ni sahifa yako, basi ijazeni utakavyo
Mwenyezi Mungu amshushie rehema Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba zake wote
Na Amani iwe juu yenu pamoja na rehema ya Mwenyezi Mungu na baraka zake