NAFASI ZA MATUNDA - Ameangamia miongoni mwa wana wa Adamu yule aliyekwenda motoni
NAFASI ZA MATUNDA - Ameangamia miongoni mwa wana wa Adamu yule aliyekwenda motoni

 

0:00 0:00
Speed:
November 14, 2025

NAFASI ZA MATUNDA - Ameangamia miongoni mwa wana wa Adamu yule aliyekwenda motoni

NAFASI ZA MATUNDA

Ameangamia miongoni mwa wana wa Adamu yule aliyekwenda motoni

Alikariri Al-Farazdaq beti zifuatazo baada ya kumaliza kumzika mkewe

Ninaogopa baada ya kaburi ikiwa hutonisamehe ...  kali zaidi kuliko kaburi kwa moto na nyembamba

Ikiwa kiongozi ataniongoza siku ya Kiyama   ...  Mkatili na mwendeshaji anayemwongoza Al-Farazdaq

Hakika ameangamia miongoni mwa wana wa Adamu yule aliyetembea ... kwenda motoni akiwa amefungwa pingu shingoni na mwenye hasira

Adabu za Al-Hasan Al-Basri, kujinyima kwake, na mahubiri yake

Na Abu Al-Faraj Ibn Al-Jawzi

Mwenyezi Mungu amfikishie rehema Bwana wetu Muhammad, jamaa zake na masahaba zake wote

Na Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh

More from null

Zawadi Bora - Kukamilisha Kazi Mara Moja

Zawadi Bora

Kukamilisha Kazi Mara Moja

Miongoni mwa mambo yenye manufaa ni kukamilisha kazi mara moja, na kuwa na muda wa ziada katika siku zijazo kwa sababu kazi zisipokamilishwa, mabaki ya kazi zilizopita yatakusanyika, na kazi za baadaye zitaongezeka, na uzito wake utaongezeka, lakini ukikamilisha kila kitu kwa wakati wake, utafanya mambo yajayo kwa nguvu ya mawazo na nguvu ya kazi. 

Njia za Kufurahia Maisha kwa Furaha

Na Ibn Saadi

Mwenyezi Mungu amfikishie rehema Bwana wetu Muhammad, ahli zake na masahaba zake wote

Na Amani iwe juu yenu na Rehema za Mwenyezi Mungu na Baraka zake

Vito Vizuri - Hizb ut-Tahrir inaendelea na njia ya kuinua Umma kutoka katika anguko lake

Vito Vizuri

Hizb ut-Tahrir inaendelea na njia ya kuinua Umma kutoka katika anguko lake

Hakika Hizb ut-Tahrir inaendelea na njia ya kuinua Umma kutoka katika anguko lake, na kuukomboa kutoka kwa mifumo ya kikafiri na fikra za kikafiri, kwa kuanzisha upya maisha ya Kiislamu kwa kusimamisha Khilafah Rashidah; ambayo zama zake zimekaribia na imekuwa karibu sana {NA SIKU HIYO WATAIFURAHIA WAUMINI * KWA NUSURA YA ALLAH, HUMNUSURU AMTAYE, NA YEYE NDIYE MWENYE NGUVU, MWENYE KUREHEMU}.

Mola wetu Mlezi amfikishie rehema Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba zake wote

Na Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh