NAFISI ZA MATUNDA - Changanyikeni na jitengeni
NAFISI ZA MATUNDA - Changanyikeni na jitengeni

Alisema Al-Hasan Al-Basri, Mwenyezi Mungu amrehemu: Amesema Umar bin Al-Khattab, Mwenyezi Mungu amridhie: Changanyikeni na jitengeni

0:00 0:00
Speed:
November 15, 2025

NAFISI ZA MATUNDA - Changanyikeni na jitengeni

NAFISI ZA MATUNDA

Changanyikeni na jitengeni

Alisema Al-Hasan Al-Basri, Mwenyezi Mungu amrehemu: Amesema Umar bin Al-Khattab, Mwenyezi Mungu amridhie: Changanyikeni na jitengeni

Kisha anasema Al-Hasan: Changanyikeni na watu katika tabia njema, na jitengeni nao katika matendo machafu.

Adabu za Al-Hasan Al-Basri, kujinyima kwake dunia na mawaidha yake

Na Abu al-Faraj Ibn al-Jawzi

Mola wasalia juu ya Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba zake wote

Na Amani iwe juu yenu na Rehema za Mwenyezi Mungu na Baraka zake

More from null

Zawadi Bora - Kukamilisha Kazi Mara Moja

Zawadi Bora

Kukamilisha Kazi Mara Moja

Miongoni mwa mambo yenye manufaa ni kukamilisha kazi mara moja, na kuwa na muda wa ziada katika siku zijazo kwa sababu kazi zisipokamilishwa, mabaki ya kazi zilizopita yatakusanyika, na kazi za baadaye zitaongezeka, na uzito wake utaongezeka, lakini ukikamilisha kila kitu kwa wakati wake, utafanya mambo yajayo kwa nguvu ya mawazo na nguvu ya kazi. 

Njia za Kufurahia Maisha kwa Furaha

Na Ibn Saadi

Mwenyezi Mungu amfikishie rehema Bwana wetu Muhammad, ahli zake na masahaba zake wote

Na Amani iwe juu yenu na Rehema za Mwenyezi Mungu na Baraka zake

Vito Vizuri - Hizb ut-Tahrir inaendelea na njia ya kuinua Umma kutoka katika anguko lake

Vito Vizuri

Hizb ut-Tahrir inaendelea na njia ya kuinua Umma kutoka katika anguko lake

Hakika Hizb ut-Tahrir inaendelea na njia ya kuinua Umma kutoka katika anguko lake, na kuukomboa kutoka kwa mifumo ya kikafiri na fikra za kikafiri, kwa kuanzisha upya maisha ya Kiislamu kwa kusimamisha Khilafah Rashidah; ambayo zama zake zimekaribia na imekuwa karibu sana {NA SIKU HIYO WATAIFURAHIA WAUMINI * KWA NUSURA YA ALLAH, HUMNUSURU AMTAYE, NA YEYE NDIYE MWENYE NGUVU, MWENYE KUREHEMU}.

Mola wetu Mlezi amfikishie rehema Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba zake wote

Na Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh