Vito Vizuri vya Matunda - Watu wa Quran ni Aina Tatu
Vito Vizuri vya Matunda - Watu wa Quran ni Aina Tatu

Alisema Al-Hasan Al-Basri: Watu wa Quran ni aina tatu: Mtu ambaye ameifanya bidhaa anaihamisha kutoka mji mmoja hadi mwingine akitafuta alicho nacho watu, na mtu ambaye amehifadhi herufi zake na akapoteza mipaka yake na anatafuta huruma ya watawala na anajionyesha kwa watu, na mtu ambaye anajua yaliyomo na kuya hifadhi na kuyafanyia kazi kama mlinganiaji na mcha Mungu, na huyo ndiye bora wa watu.

0:00 0:00
Speed:
November 12, 2025

Vito Vizuri vya Matunda - Watu wa Quran ni Aina Tatu

Vito Vizuri vya Matunda

Watu wa Quran ni Aina Tatu

Alisema Al-Hasan Al-Basri: Watu wa Quran ni aina tatu: Mtu ambaye ameifanya bidhaa anaihamisha kutoka mji mmoja hadi mwingine akitafuta alicho nacho watu, na mtu ambaye amehifadhi herufi zake na akapoteza mipaka yake na anatafuta huruma ya watawala na anajionyesha kwa watu, na mtu ambaye anajua yaliyomo na kuya hifadhi na kuyafanyia kazi kama mlinganiaji na mcha Mungu, na huyo ndiye bora wa watu.

Mwenyezi Mungu amfikishie rehema Bwana wetu Muhammad, ahli zake na masahaba zake wote

Na Amani iwe juu yenu pamoja na rehema za Mwenyezi Mungu na baraka zake

More from null

Zawadi Bora - Kukamilisha Kazi Mara Moja

Zawadi Bora

Kukamilisha Kazi Mara Moja

Miongoni mwa mambo yenye manufaa ni kukamilisha kazi mara moja, na kuwa na muda wa ziada katika siku zijazo kwa sababu kazi zisipokamilishwa, mabaki ya kazi zilizopita yatakusanyika, na kazi za baadaye zitaongezeka, na uzito wake utaongezeka, lakini ukikamilisha kila kitu kwa wakati wake, utafanya mambo yajayo kwa nguvu ya mawazo na nguvu ya kazi. 

Njia za Kufurahia Maisha kwa Furaha

Na Ibn Saadi

Mwenyezi Mungu amfikishie rehema Bwana wetu Muhammad, ahli zake na masahaba zake wote

Na Amani iwe juu yenu na Rehema za Mwenyezi Mungu na Baraka zake

Vito Vizuri - Hizb ut-Tahrir inaendelea na njia ya kuinua Umma kutoka katika anguko lake

Vito Vizuri

Hizb ut-Tahrir inaendelea na njia ya kuinua Umma kutoka katika anguko lake

Hakika Hizb ut-Tahrir inaendelea na njia ya kuinua Umma kutoka katika anguko lake, na kuukomboa kutoka kwa mifumo ya kikafiri na fikra za kikafiri, kwa kuanzisha upya maisha ya Kiislamu kwa kusimamisha Khilafah Rashidah; ambayo zama zake zimekaribia na imekuwa karibu sana {NA SIKU HIYO WATAIFURAHIA WAUMINI * KWA NUSURA YA ALLAH, HUMNUSURU AMTAYE, NA YEYE NDIYE MWENYE NGUVU, MWENYE KUREHEMU}.

Mola wetu Mlezi amfikishie rehema Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba zake wote

Na Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh