NAFĀ'ISU ATH-THAMARĀTI
HAKUNA LAWAMA BAADA YA UJIO WA MAUTI
| Chukua kutoka ujana wako kabla ya mauti na uzee |
Na fanya haraka toba kabla ya kupoteza na majuto |
|
| Na jua kuwa wewe utalipwa na utadhaminiwa |
Na mche Mungu na uwe mwangalifu na utelezaji wa mguu |
|
| Hakuna lawama baada ya ujio wa mauti |
Isipokuwa matumaini na msamaha wa Mungu Mwenye Ukarimu |
Mawardi Adh-Dhamaan Li Durusi Az-Zamaan (Sehemu ya Kwanza)
Abdul Aziz bin Muhammad As-Salman
Na umshalie, Ee Mwenyezi Mungu, Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba zake wote
Na Amani iwe juu yenu na Rehema za Mwenyezi Mungu na Baraka zake