NAFASI ZA THAMARATI
Miongoni mwa Madhambi Makuu
Amesimulia Shu'bah kutoka kwa Sa'ad bin Ibrahim: Nilisikia Humaid bin Abdurrahman akihadithia kutoka kwa Abdullah bin Amru, radhi za Allah ziwe juu yao, kutoka kwa Mtume, صلى الله عليه وسلم, alisema: "Miongoni mwa madhambi makuu ni mtu kuwatukana wazazi wake. Walisema: Na vipi mtu anaweza kuwatukana wazazi wake? Akasema: Anamtukana baba ya mtu, naye amtukane baba yake, na amtukane mama yake, naye amtukane mama yake."
Mola, mrehemu Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba wake wote.
Na Amani iwe juu yenu na Rehema za Allah na Baraka zake