Vito vya Thamarati
Sina kwako njia ila tumaini
Ee Mola wangu dhambi zangu zikikithiri kwa wingi ... Nimejua kuwa msamaha wako ni mkuu zaidi
Ikiwa hakutazamii isipokuwa mtenda wema ... Ni nani basi anayeomba na kumtarajia mkosefu
Sina kwako njia ila tumaini ... Na uzuri wa msamaha wako kisha mimi ni Muislamu
Rehema za Mwenyezi Mungu zimshukie Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba zake wote
Na Amani iwe juu yenu na Rehema za Mwenyezi Mungu na Baraka zake