Thamani za Matunda
Unamheshimu Nani Miongoni mwa Watu Wote
Aliulizwa mmoja wa watu wema, unamheshimu nani miongoni mwa watu wote?
Akasema: Yule ambaye tabia zake ni njema
Na kukaa naye ni faida
Na nia yake ni safi
Na kumwacha ni uchungu
Kama miski, kadiri muda unavyopita, thamani yake huongezeka
Mwenyezi Mungu amfikishie sala Bwana wetu Muhammad, ahli zake na masahaba zake wote
Na Amani iwe juu yenu na Rehema ya Mwenyezi Mungu na Baraka zake