Matunda Adhimu
Mambo Matatu Yanayovunja Mgongo
Alisema Al-Hasan Al-Basri, Allah amrahamu: Mambo matatu yanavunja mgongo, kiongozi unayemtii na akakupoteza, na jirani ambaye akijua jema hulificha, na akijua shari hulitangaza, na umaskini dhahiri ambao mwenye nao hapati ladha.
Adabu za Al-Hasan Al-Basri, Zuhudi Zake na Mawaidha Yake
Na Abu Al-Faraj Ibn Al-Jawzi
Mola Wangu Mlezi mswalie Bwana wetu Muhammad na Aali zake na Masahaba zake wote
Na Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh