Jimbo la Uturuki: Mkutano wa Kila Wiki na Vyombo vya Habari - 2025/10/01
Mkutano wa kila wiki na vyombo vya habari
Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Jimbo la Uturuki
Akiwasilisha Mwalimu Mahmud Kar
Mkuu wa Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Jimbo la Uturuki
Na alizungumzia wiki hii:
- Tulisema: Hatutaki maneno, bali tunataka matendo!
- "Uthabiti" umeonyesha udhaifu wa nchi 57!
- Mpango wa Trump huko Gaza!
Jumatano, 09 Rabi' al-Akhar 1447 Hijria, sawia na 01 Oktoba/Oktoba 2025 Miladia