Jimbo la Uturuki: Mkutano wa Kila Wiki na Wanahabari - 2025/11/04
Mkutano wa kila wiki na wanahabari
wa ofisi ya habari ya Hizb ut Tahrir katika jimbo la Uturuki
Ukiwasilishwa na Ustadhi Muhammad Amin Yildirim
Mwanachama wa ofisi ya habari ya Hizb ut Tahrir katika jimbo la Uturuki
Na amezungumzia wiki hii:
- Vita vya kikoloni nchini Sudan!
- Mkutano wa Baraza la Ushirikiano wa Kiislamu!
- Takwimu za mfumuko wa bei kwa mwezi Novemba!
Jumanne, 13 Jumada al-Ula 1447 Hijria sawa na 04 Novemba 2025 Miladia