India na Vitisho vya Trump
Habari:
Habari:
Habari:
Msururu wa Vipindi - Jinsi Ukhalifa Ulivyobomolewa - Sehemu ya 18
Ibn Taymiyyah alisema: Anayetaka furaha ya milele, basi ashikamane na utiifu.
Televisheni ya Al-Waqiyah: Kutofautisha Kati ya Udanganyifu na Fikra Bunifu!
Jarida la Ar-Raya: Vichwa vya habari muhimu vya Toleo (565)
Himdi ni ya Mwenyezi Mungu, ambaye ameipa Sudan neema ambazo zimeifanya kuwa moja ya nchi tajiri zaidi barani Afrika, kimaumbile na kiuchumi. Sudan ni nchi tajiri kwa rasilimali za asili ambazo ni nadra kukutana katika eneo moja; kuanzia dhahabu na madini adimu, hadi maji safi, na ardhi kubwa tambarare za kilimo, pamoja na utajiri mkubwa wa mifugo, na mafuta ambayo yanachukuliwa kuwa moja ya aina bora za mafuta ulimwenguni.
Haishangazi kwa kila anayefuatilia hali ya kisiasa nchini Sudan kujua kwamba vita hivi vilipangwa na kusimamiwa na Marekani chafu na mbaya ili kufikia ajenda yake na kuvunja nguvu za washindani wake wa Ulaya, hasa vibaraka wa Uingereza wa kiraia, kwa hivyo vita hivi vinafadhiliwa na Marekani, ni mchezo wake uliolaaniwa. Ushahidi mkuu ni kwamba tamko la kuongeza muda wa vita lilitolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Blinken. Kuongezwa muda wa vita hivi si kwa ajili ya uamuzi wala kuhifadhi damu na kusimamisha uharibifu ambao umeharibu nchi na watu,
Amir wa Hizb ut-Tahrir, na wanachama wa ofisi ya Amir, na Diwani ya Madhalimu, na Ofisi ya Habari Kuu, na Hizb ut-Tahrir kwa ujumla... wanatoa rambirambi kwa Umma wa Kiislamu kwa msiba wa mwanachama wa ofisi ya Amir, Ustadhi Ahmed Bakr (Abu Usama) ambaye amefariki dunia asubuhi ya leo tarehe ishirini na mbili ya Rabi' al-Awwal 1447 Hijria, sawa na tarehe kumi na nne ya Septemba 2025 Miladia, akiwa na umri wa miaka themanini na saba.
Baadhi ya wanasiasa nchini Syria hivi karibuni wanaeneza wazo la "hatutauza ndoto kwa watu wetu, na lazima tuchukue hatua kwa uhalisia ili kujenga upya taifa," kwa kisingizio cha "tunatambua uwezo wetu halisi, na lugha ya vitisho haitafaa katika kukabiliana na uvamizi," na kwamba "mazungumzo nao yanaendelea ili kurejea kwenye makubaliano ya 1974"!