Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Operesheni ya Shahidi Shujaa Abdul Muttalib Al-Qaisi Inathibitisha Azma ya Umma Kupigana na Mayahudi Hadi Kuwaangamiza Licha ya Udhaifu wa Watawala wa Kiarabu

Operesheni ya Shahidi Shujaa Abdul Muttalib Al-Qaisi Inathibitisha Azma ya Umma Kupigana na Mayahudi Hadi Kuwaangamiza Licha ya Udhaifu wa Watawala wa Kiarabu

Licha ya ulinzi wa kiusalama na kijeshi ambao utawala wa Jordan umejitolea kwa taasisi ya Kiyahudi, shahidi shujaa Abdul Muttalib Al-Qaisi, mmoja wa raia wa Jordan, aliweza jana Alhamisi, 2025/09/18, kuvamia mpaka kupitia kivuko cha Karama na taasisi ya Kiyahudi, akikaribia bila kujali matokeo na akapigana kwa ushujaa na kuua askari wawili wa adui kabla ya kufikia shahada kwa ajili ya Mungu. Tunamuhesabu hivyo na hatumtakasi kwa Mungu, lakini tuna msimamo kuhusu ushujaa huu, ujasiri na azimio ambalo linaambatana na kumbukumbu ya kwanza ya mwaka wa operesheni ya kishujaa ya shahidi Maher Al-Jazi, ambapo askari watatu wa taasisi ya adui waliuawa.

103 / 10603