Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan Katika Mkutano na Waandishi wa Habari Siku ya Jumamosi 22 Safar 1447 Hijria, Inayolingana na 2025/08/16 Miladia, yenye kichwa: "Wito kwa Watu wa Sudan.. Iokoeni Darfur Isije Ikaungana na Kusini"

Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan Katika Mkutano na Waandishi wa Habari Siku ya Jumamosi 22 Safar 1447 Hijria, Inayolingana na 2025/08/16 Miladia, yenye kichwa: "Wito kwa Watu wa Sudan.. Iokoeni Darfur Isije Ikaungana na Kusini"

Majeshi ya Msaada wa Haraka yalitangaza siku ya Jumamosi 2025/07/26 Miladia, kuunda serikali sambamba na serikali iliyopo Sudan, katika mji mkuu wa Darfur Kusini (Nyala), na hatua hii ya Majeshi ya Msaada wa Haraka, ni hatua ya kimaendeleo katika kutenganisha eneo la Darfur, ambalo wanalidhibiti, isipokuwa sehemu za mji wa Al-Fasher, ambao wameuwekea mzingiro mkali kwa zaidi ya mwaka mmoja, na wanafanya mashambulizi ya mara kwa mara ili kuuangusha, ili eneo lote la Darfur liwe chini ya udhibiti wao.

Jibu la Swali: Matukio ya Armenia na Azabajani

Jibu la Swali: Matukio ya Armenia na Azabajani

Uwepo wa Urusi katika eneo la kusini mwa Caucasus ulitikisika (baada ya Armenia na Azabajani kutiia tangazo la pamoja na Marekani kuhusu suluhu ya amani na makubaliano katika nyanja za biashara na usalama baada ya mzozo wa zaidi ya miaka 35 kati ya nchi hizo mbili jirani.. Al Jazeera 2025/8/15) Azabajani na Armenia zilikuwa zimetoa taarifa ya pamoja mnamo 2025/8/11, kufuatia makubaliano yaliyosainiwa kati yao huko Washington mnamo 2025/8/8, zikiomba pande zingine kutatua kundi la Minsk lililoanzishwa mnamo 1992 kutatua shida kati ya

161 / 10603