Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Kushi News: Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari Wenye Kichwa: "Wito kwa Watu wa Sudan.. Iokoeni Darfur Ili Isipatwe na Yaliyompata Kusini"

Kushi News: Neno la Msemaji Rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari Wenye Kichwa: "Wito kwa Watu wa Sudan.. Iokoeni Darfur Ili Isipatwe na Yaliyompata Kusini"

Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vilitangaza siku ya Jumamosi tarehe 26/07/2025, kuunda serikali sambamba na serikali iliyopo nchini Sudan, katika mji mkuu wa Darfur Kusini (Nyala). Hatua hii ya Vikosi vya Msaada wa Haraka ni hatua ya kuendeleza utengano wa eneo la Darfur, ambalo wanalidhibiti, isipokuwa sehemu za mji wa Al-Fashir, ambao wameuwekea mzingiro mkali kwa zaidi ya mwaka mmoja, na wanafanya mashambulizi ya mara kwa mara kuuangusha, ili eneo lote la Darfur liwe chini ya udhibiti wao.

Msururu wa "Ukhalifa na Uimamu katika Fikra ya Kiislamu" - Kwa Mwandishi na Mwanafikra Thaer Salama - Abu Malik - Sehemu ya 48

Msururu wa "Ukhalifa na Uimamu katika Fikra ya Kiislamu" - Kwa Mwandishi na Mwanafikra Thaer Salama - Abu Malik - Sehemu ya 48

Ukhalifa ni kusimama kitu mahali pa kitu, na hukumu ni ya Mwenyezi Mungu, na amewajaalia viumbe kwa ujumla kwa kauli yake ﷺ: «Hakika dunia ni tamu na ya kijani kibichi, na Mwenyezi Mungu anakufanyeni makhalifa ndani yake, ili aone mnavyotenda» Imepokewa na Muslim kutoka kwa Abu Saeed Al-Khudri, kuthibitisha kauli yake Mwenyezi Mungu ﴿Kisha tukakufanyeni makhalifa katika ardhi baada yao ili tuone mnavyotenda﴾ [Yunus: 14], yaani mtekeleze hukumu za Mwenyezi Mungu, na manhaj ya Mwenyezi Mungu baina yenu na juu ya nafsi zenu katika kila jambo, na ukhalifa kwa khasa katika hukumu, kutoka kwa mtawala anahukumu kwa aliyo teremsha Mwenyezi Mungu, kwani manhaj hii ndio inayotofautisha baina ya anayefanywa khalifa katika ardhi awe ni mharibifu ndani yake, mtoaji damu, au awe ni khalifa anaye kingwa na manhaj hiyo kutokana na kosa hilo, na ili itawale manhaj lazima itawale kupitia dola, siyo tu kwamba wafuate watu katika jamii ambayo inatawaliwa na manhaj isiyo hiyo!

160 / 10603