Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Kongamano la Islamabad Kati ya Usaliti wa Viongozi na Wajibu wa Kunusuru

Kongamano la Islamabad Kati ya Usaliti wa Viongozi na Wajibu wa Kunusuru

Wakati taasisi ya Kiyahudi inaendelea kufanya mauaji huko Gaza, na kuwafanya watu wake kuwa na njaa, na wakati umma umepoteza tumaini kwa viongozi wao kuwanusuru, tamaa kubwa ilitoka moyoni mwa Islamabad, ambapo mnamo Jumamosi, 2025/7/26, mkutano wa wakuu wa majeshi ya ulinzi wa kikanda ulifanyika kwa ushiriki wa Amerika na nchi za Asia ya Kati, chini ya usimamizi wa Jeshi la Pakistani, ambapo mkutano huo uliwakutanisha viongozi wakuu wa kijeshi kutoka Amerika, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Tajikistan, na Uzbekistan.

195 / 10603