Machapisho ya Hivi Karibuni

Makala Iliyoangaziwa

null

null

Soma zaidi
Nini Kinafichika Baada ya Kukamatwa kwa Vijana wa Hizb ut-Tahrir Baada ya Hotuba Kuhusu Kuwasaidia Watu wa Gaza?!

Nini Kinafichika Baada ya Kukamatwa kwa Vijana wa Hizb ut-Tahrir Baada ya Hotuba Kuhusu Kuwasaidia Watu wa Gaza?!

Kufuatia mashambulizi ya chuki ya Wayahudi dhidi ya nchi za Waislamu siku ya Alhamisi tarehe 23 Dhul-Hijjah 1446 Hijria, sawia na 2025/6/19 Miladia, mamlaka za usalama katika mji wa Al-Qadarif nchini Sudan ziliwakamata vijana watatu wa Hizb ut-Tahrir, na mmoja wa waliohudhuria, baada ya kumalizika kwa hotuba katika soko la Al-Qadarif, iliyoizungumzia hali halisi ya vita vya chuki ya Wayahudi dhidi ya Iran, na furaha ya Waislamu kwa kuupiga utawala huu dhalimu, na uharibifu ulioupata, na ikaeleza kuwa furaha ya kweli itakuwa ni kwa kusimamisha Khilafah,

265 / 10603