Taarifa ya Habari ya Jumapili kutoka Radio ya Hizb ut-Tahrir Wilaya ya Syria 2025/06/22
Vichwa vya Habari:
Vichwa vya Habari:
Duru kutoka Sira Sehemu ya 3 - Upinzani wa Washirikina kwa Ulinganiaji kwa Kutesa - Abu Musab al-Shami
Rasimu ya Katiba ya Dola ya Khilafa - Ibara ya 174
Jimbo la Tunisia: Toleo la 546 la Gazeti la Ukombozi Latolewa
Al Jazeera Net, 2025/6/20 - Wakati Waislamu wanasubiri matendo badala ya maneno mbele ya shambulio la Wayahudi na Magharibi linaloendelea dhidi ya nchi za Kiislamu, rais wa Uturuki, ambaye anajulikana kwa makelele, anaendelea nayo na anashambulia chombo cha Kiyahudi kwa maneno tu! Alisema kuwa Waziri Mkuu wa chombo cha Kiyahudi Netanyahu na serikali yake wameandika majina yao pamoja na madikteta kama vile Hitler, akishutumu ukiukwaji wa chombo cha Kiyahudi huko Gaza na shambulio dhidi ya Iran, ambayo alionya kuwa inakaribia "hatua ya kutorejea".
Pamoja na Qur'ani Tukufu - Sura Âli `Imran
Kutoka katika maneno na majibu ya Amiri wa Hizb ut-Tahrir, Alimu Mkuu, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah
Habari: